Kama walimu wanalipwa mishaara kupitia NMB, benki yenu ni nani ataikuza?

Kama walimu wanalipwa mishaara kupitia NMB, benki yenu ni nani ataikuza?

Konseli Mkuu Andrew

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2013
Posts
749
Reaction score
875
Salaam Wakuu,

Moja kati ya mambo yanayonishangaza ni kuwa Chama cha Walimu Tanzania CWT walianzisha bank yao inayoitwa Mwalimu Commercial Bank ila ajabu no kuwa hadi Leo mishaara ya walimu bado inapitia NMB na mikopo pia wanakopa kupitia NMB.

Napenda kuwaambia CWT kuwa wasitegemee maendeleo mazuri ya bank yao kama wao wenyewe sio wadau namba moja ya bank yao au wanataka JWTZ ndio waingie ubia wa watumishi wake kupitishia mishaara huko?

Mambo madogo madogo haya ndio yalipelekea kuanzishwa kwa tawi lingine la umoja was walimu.

Nawasilisha
 
Salaam Wakuu,

Moja kati ya mambo yanayonishangaza ni kuwa Chama cha Walimu Tanzania CWT walianzisha bank yao inayoitwa Mwalimu Commercial Bank ila ajabu no kuwa hadi Leo mishaara ya walimu bado inapitia NMB na mikopo pia wanakopa kupitia NMB.

Napenda kuwaambia CWT kuwa wasitegemee maendeleo mazuri ya bank yao kama wao wenyewe sio wadau namba moja ya bank yao au wanataka JWTZ ndio waingie ubia wa watumishi wake kupitishia mishaara huko?

Mambo madogo madogo haya ndio yalipelekea kuanzishwa kwa tawi lingine la umoja was walimu.

Nawasilisha
Hakuna bank ya walimu... Ni propaganda tu. Wenye hisa ni walimu? Wananufaika vipi tangu ianzishwe ???
 
Hakuna bank ya walimu... Ni propaganda tu. Wenye hisa ni walimu? Wananufaika vipi tangu ianzishwe ???
Utawala no mbovu ile imeandikwa MWALIMU COMMERCIAL BANK PLC.PLC maana take ni Public limited company hats Mimi naweza nunua hisa
 
Mishahara ya walimu wote ingepitia kwao nahisi ingekuwa kubwa kuliko hizi benki nyingine tatizo viongozi wao wa hovyo
 
Nimekaa Mafia, Ukerewe, Sengerema, Geita na hapa Makete sijaona tawi la benki ya walimu. Unataka walimu wa Njombe tukachukulie mshahara Dar?
 
Chama cha Walimu a.k.a Chama cha Wezi Tanzania hakina maana kabisa hiki, nichakufuta kabisa.
 
Hiyo ni benki ya walimu jina ila ni benki inayomilikiwa na wafanyabiashara(Wanasiasa)
Uko sahihi kabisa. Hii benki ni kiini macho tu kwa walimu. Haina tija yoyote ile kwao. Walimu wametapakaa nchi nzima, cha kushangaza benki ina matawi matatu tu nchi nzima!

Halafu riba zao hazina tofauti na benki nyingine! Inamilikiwa na wafanyabiashara na wanadiasa wa ccm kwa mgongo wa walimu wa Tanzania. I wish walimu wangedai tu zile hisa zao walizo nunua wakati hiyo benki inaanzishwa.
 
Uko sahihi kabisa. Hii benki ni kiini macho tu kwa walimu. Haina tija yoyote ile kwao. Walimu wametapakaa nchi nzima, cha kushangaza benki ina matawi matatu tu nchi nzima!

Halafu riba zao hazina tofauti na benki nyingine! Inamilikiwa na wafanyabiashara na wanadiasa wa ccm kwa mgongo wa walimu wa Tanzania. I wish walimu wangedai tu zile hisa zao walizo nunua wakati hiyo benki inaanzishwa.
Tatizo sio Benki
Tatizo ni upigaji CWT

Potential ya CWT ni kama NHIF ama WCF wawe na huduma ya uhakika ama mafao maalum kabisa wanawalipa walimu..

Ama walimu wakope bila riba kwa mfumo wa bima ya michango yao

Wanakata watu every month ila waulizwe wanafanya nini mtashangaa

Sijui kwanini hawamulikwi na Walimu wamewachoka hawana hamu nao
 
Salaam Wakuu,

Moja kati ya mambo yanayonishangaza ni kuwa Chama cha Walimu Tanzania CWT walianzisha bank yao inayoitwa Mwalimu Commercial Bank ila ajabu no kuwa hadi Leo mishaara ya walimu bado inapitia NMB na mikopo pia wanakopa kupitia NMB.

Napenda kuwaambia CWT kuwa wasitegemee maendeleo mazuri ya bank yao kama wao wenyewe sio wadau namba moja ya bank yao au wanataka JWTZ ndio waingie ubia wa watumishi wake kupitishia mishaara huko?

Mambo madogo madogo haya ndio yalipelekea kuanzishwa kwa tawi lingine la umoja was walimu.

Nawasilisha
Hisia zangu wewe ni kutoka chama kileeee!!!! Hongera sana iko siku yaja
 
Back
Top Bottom