Kama wamasai sio wazawa, mbona Wahehe walitokea Zimbabwe. Huyu Msigwa hana utu na mbaguzi

Kama wamasai sio wazawa, mbona Wahehe walitokea Zimbabwe. Huyu Msigwa hana utu na mbaguzi

Hapo imeongozwa na mhemko toa hoja mkuu

Huu ni ujinga? Ubaguzi wa kipumbavu
Umeandika ujinga ndiyo. Kati ya Msigwa na wewe uliyendika hapa ni nani anayehamasisha hicho unachokiita ukabila? Wewe umeenda mbali na kujipa haki ya utanzania na kuwajengea wengine tashwishi. Ndio Maana nikakukuuliza, wewe unajuaje kama ni mtanzania genuine? Ukaishia kunitukana.
 
Unavosema wahehe walevi ina maana huwajui wachagga? [emoji23][emoji23]
 
Umeandika ujinga ndiyo. Kati ya Msigwa na wewe uliyendika hapa ni nani anayehamasisha hicho unachokiita ukabila? Wewe umeenda mbali na kujipa haki ya utanzania na kuwajengea wengine tashwishi. Ndio Maana nikakukuuliza, wewe unajuaje kama ni mtanzania genuine? Ukaishia kunitukana.
Mkuu kuna watu ni wapuuzi na wanaongozwa na upuuzi kutukana badala ya kujenga hoja
 
Nisijipe haki ya uraia wa Tz mimi sio mtanzania. Huna akili mbwa wewe.
Wewe endelea kujipa stress kwa matusi, mimi nitaendelea kukupa ukweli. Kama wewe unajiita mtanzania ni kitu gani kimekufanya umuone Msigwa kuwa si mtanzania? Ni hivi umeandika mada ya kijinga kwa chuki zako tu kwakuwa yeye ni mpinzani. Ni heri kwako kama ungewaomba moderators kuifuta.
 
Kutafsiri alichoandika Msigwa inatakiwa ujiandae kweli sio utoke tuu huko utaelewa anamaanisha nini...
 
Huna akili. Kwa hiyo kututukana sisi wahehe ni walevi kisa kauli ya huyo mwanasiasa msigwa na wewe unajiona una akili.

Acha kujikuta mkuu. Pumbafu
 
Mim naona Tanzania hii watu waano ishi mipakani wengi wanawaterm kam sio watanzania sasa kwanini wasiwagawe kwenye ramani na icho kipande cha ardhi yao viwe avipo tz maana unyanyapaaji
Huwezi kubagua watanzania wenzetu kwa historia ya miaka 2000 iliyopita. Huyu ni mbumbu kabisa.

Mbona Wahehe walitokea huko kusini mwa Afrika na walevi kama watu wa Zimbabwe mbona hatuwabaguiView attachment 2260544
 
Back
Top Bottom