Pre GE2025 Kama wanawake wanaweza kuongoza katika siasa inakuaje hawawezi kuongoza katika dini?

Pre GE2025 Kama wanawake wanaweza kuongoza katika siasa inakuaje hawawezi kuongoza katika dini?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Ukiangalia dini zote kubwa mbili za Uislamu na Ukristo zinazuia wanawake kuwa viongozi lakini ukiacha Uarabuni sehemu nyingine zote za dunia ikiwemo Tanzania hayo maelekezo na Tamaduni za dini yamepuuzwa katika upande wa siasa na wanawake wamekuwa viongozi.

Kama wanawake wanaweza kuongoza katika siasa inakuaje wanashindwa kuwa viongozi katika dini?

Kupata Taarifa na Matukio ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa kila mkoa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 pamoja na Zanzibar
 
Ukiangalia dini zote kubwa mbili za Uislamu na Ukristo zinazuia wanawake kuwa viongozi lakini ukiacha Uarabuni sehemu nyingine zote za dunia ikiwemo Tanzania hayo maelekezo na Tamaduni za dini yamepuuzwa katika upande wa siasa na wanawake wamekuwa viongozi.

Kama wanawake wanaweza kuongoza katika siasa inakuaje wanashindwa kuwa viongozi katika dini?
Siasa ni dynamic institution inayoweza kubadilika kwa kadri ya mazingira yanavyobadilika. Hapo siasa imekuwa reactive kuendana na demand ya activism, wadai haki za binadamu, na harakati au movement mbalimbali zinazodai equity na equality katika jamii in terms of gender

Dini ni static, maandiko hayabadiliki na maandiko yake ukiyachambua vibaya hata muumini aliyeanza kuja juzi kanisani atajua tu. So kulingana na dini kuwa "conservative" institution, maandiko yake ndo hayohayo kila siku haiwezekan kuruhusu mwanamke kutokea huko.

Zingatia : kinachosababisha haya yote ni man muscular structure
 
Ukiangalia dini zote kubwa mbili za Uislamu na Ukristo zinazuia wanawake kuwa viongozi lakini ukiacha Uarabuni sehemu nyingine zote za dunia ikiwemo Tanzania hayo maelekezo na Tamaduni za dini yamepuuzwa katika upande wa siasa na wanawake wamekuwa viongozi.

Kama wanawake wanaweza kuongoza katika siasa inakuaje wanashindwa kuwa viongozi katika dini?
wachungaji wanawake siku hizi wapo, baadhi ya makanisa ya kipentekoste na kkkt kuna wachungaji wa kike. Katoliki ndio hakuna katekista wala padri wa kike. Kule kwa waislam ndio hakuna kabisa kiongozi wa kike, hakuna sheikh/sheikhat muongoza ibada wa kike
 
wachungaji wanawake siku hizi wapo, baadhi ya makanisa ya kipentekoste na kkkt kuna wachungaji wa kike. Katoliki ndio hakuna katekista wala padri wa kike. Kule kwa waislam ndio hakuna kabisa kiongozi wa kike, hakuna sheikh/sheikhat muongoza ibada wa kike
Maaskofu ndio viongozi katika Ukristo.
 
1Wakoritho 14;34 “Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo. Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa. Au je! Neno la Mungu lilitoka kwenu? Au kuwafikia ninyi peke yenu? Mtu akijiona kuwa ni nabii au mtu wa rohoni, na ayatambue hayo ninayowaandikia, ya kwamba ni maagizo ya Bwana”

Alisema zichunguzeni kila roho maana take tunatumii Biblia kuzichunguza kama zikiwa kinyume na maelekezo basi tunakuwa roho ta mpinga Kristo hipo kazini mahali hapo.
 
Wewe ulisikia wapi kuwa kwenye siasa wanaweza kuongoza ? Ulisikia wapi ?
1000017479.jpg
 
'1 Timothy 3:1-2'
1 Ni neno la kuaminiwa; mtu akitaka kazi ya askofu, atamani kazi njema.
2 Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha;

Tatizo wanadamu tunakengeuka na kujifanya tuko juu ya sheria ( maelekezo ya Mungu)

Angalizo
Subiri mauti imwingie mwanadamu miezi 3 huwa ananajua kuwa anaelekea kufa haijalishi Anaumwa au aumwi na kipindi hicho mwanadammu anajuta kwanini aliumbwa maana anaoneshwa kabisa anapoelekea labda kama alikuwa anatimiza sheria za Mungu anakuwa poa.
 
Hata kwenye siasa bila wanaume Mwanamke Hana ubavu wa kuongoza

Ila mwanaume natural hategemei uwepo WA mwanamke kuongoza. Yeye ni kiongozi.

Mwanamke kupewa uongozi ni Kwa maamuzi tuu wanaume
Lakini mwanaume kuongoza haitegemei maamuzi ya wanawake yaani watake wasitake wataongozwa tuu

Ila wanaume wakiamua wanawake wasiongoze popote. Wanawake hawana ubavu wa kupinga.
 
Kwa wakiristo usishangae kuna siku papa atakuwa mwanamke, biblia ikawekwa kipengele hicho
Ukiangalia dini zote kubwa mbili za Uislamu na Ukristo zinazuia wanawake kuwa viongozi lakini ukiacha Uarabuni sehemu nyingine zote za dunia ikiwemo Tanzania hayo maelekezo na Tamaduni za dini yamepuuzwa katika upande wa siasa na wanawake wamekuwa viongozi.

Kama wanawake wanaweza kuongoza katika siasa inakuaje wanashindwa kuwa viongozi katika dini?
 
Biblia inaposema mkamate sana Elimu usimwache aende zake anamaanisha mkamate sana Roho Mtakatifu ukiwa naye anafanya hata Elimu ya dunia hii ( Bachelor, Masters, Doctor, Professor etc) inakuwa na value maana Roho mtakatifu anakufanya mwanadamu kiwa Ethical nikimaanisha anakufanya dhamila yako inakuwa ndani ya moyo.
 
Kwanza hawawezi kilichotokea hapa Tanzania ni ajali na bahati mbaya nahisi Mungu ameamua kutupa adhabu
 

Attachments

  • 4900139-0291b2ca9c7d3b297e2c695a9fc8f5a.mp4
    4.5 MB
Ukiangalia dini zote kubwa mbili za Uislamu na Ukristo zinazuia wanawake kuwa viongozi lakini ukiacha Uarabuni sehemu nyingine zote za dunia ikiwemo Tanzania hayo maelekezo na Tamaduni za dini yamepuuzwa katika upande wa siasa na wanawake wamekuwa viongozi.

Kama wanawake wanaweza kuongoza katika siasa inakuaje wanashindwa kuwa viongozi katika dini?
Watanzania wengi ni wapumbavu mfano ni wewe ...umeshindo kujua tofauti baina ya kuwa kiongozi na kuweza kuongoza !wanawake wanaweza kuwa viongozi ila hawawezi kuongoza ...tumia akili ...kuwa kiongozi ni kitu kingine na kuweza uongozi ni kitu kingine
 
Kwanza hawawezi kilichotokea hapa Tanzania ni ajali na bahati mbaya nahisi Mungu ameamua kutupa adhabu
NIMPUMBAVU MWANAUME AU MWANAMKE ANAYE UNGA MKONO KUONGOZWA NA MWANAMKE ...SHEKH MANDAZI YUPO SAHIHI KABISA
 
Ukiangalia dini zote kubwa mbili za Uislamu na Ukristo zinazuia wanawake kuwa viongozi lakini ukiacha Uarabuni sehemu nyingine zote za dunia ikiwemo Tanzania hayo maelekezo na Tamaduni za dini yamepuuzwa katika upande wa siasa na wanawake wamekuwa viongozi.

Kama wanawake wanaweza kuongoza katika siasa inakuaje wanashindwa kuwa viongozi katika dini?
Si ubaguzi lakini Mwanamke toka uumbaji ni 2nd person kwa mwanaume - na ndiyo maana tunawaoa ila wao hawaoi.

Ni makosa mwanamke kumpa uongozi juu ya wanaume, mwanamke anaweza kuwa kiongozi kwa wanawake wenzake.

Angqlizo; wale wanaharakati wa kutetea haki za wanawake wanaweza kukuua wakisia hivi.
 
Kuhusu Taifa la Tanzania kwa Sasa chini ya utawala wa Rais Samia

Pamoja na kwamba mwanamke haruusiwi kutawala lakini kwa Rais Samia ni tofauti!!

Yeye Rais Samia yupo pale kialali kabisa ni kusudi la Mungu wa Mbinguni. Yeye yuko pale kwa sababu zifuatazo kwa majibu wa vitabu vya Mungu
1. Mwanamke anawakilisha Kanisa/Msikiti ( UFUNUO 12.:1) maana yake taifa la Tanzania kwa sasa lipo chini ya utawala wa Mungu wa Mbinguni
Kanisa/Msikiti sio jengo hapana maana ya kanisa/msikiti ni Roho Mtakatifu au kwa maana nyingine ni Mungu mwenyewe kwa wasio jua maana ya Roho mtakatifu.
2. Taifa la Tanzania limeingia kwenye wokovu ( Tupo kwenye utawala wa haki na amani)
3. Utawala wa Mungu sio wa demokrasia ni wa kifalme mtawala anachaguliwa na Mungu mwenyewe ( Yesu, Daudi, Yusuph nk) awamu ya 6 Rais Samia akupigiwa kula na yeyote yule kawekwa na MUNGU.
.4. Rais wa nchi ndiye mtumishi wa kwanza wa Mungu kwenye taifa lolote utakalo ingia na Rais Samia amepokea wokovu. Ishara zote zinaonyesha jinsi anavyoongea, body language yake unaona kabisa yuko Ethinal, .Moyo wake ni mweupe pure heart ( dhamila yake inatoka ndani ya Moyo)
Anyway
Maelekezo ni mengi sana kama Taifa kuna vitu inabidi kuzingatiwa maana utaratibu wote wa kuendesha Taifa umebadilika kuanzia Rohoni.
Kuna mambo mengi yanatokea kwa sasa inalaumiwa serikali na vyombo vyake vya dola, wanasiasa au watu binafsi lakini ukweli wenyewe ni kwasababu ya haya mabadiriko yaliyotokea katika ulimwengu wa roho ni swala la kufuata maelekezo tu.
Biblia Kitabu Cha Amos 3: 7

Kwa sasa watanzania MAOMBI yetu yanatakiwa ya kumshukuru Mungu na walio katika nyazifa za uongozi mkitaka ushauri ya nini kifanyike nipo tayari kwa ushauri
 
Back
Top Bottom