Kama wanyama wangekuwa na whats up, stutus zao zingesomeka hivi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kubabaaaale JF ina vichaa timamu
Taja mmoja wao
 
kunguni: jana nlikutana na chaka (m@vuZ1) nkazama kwenye bwawa nkatoka nmelowa haswa.

chawa's reply: huyo atakuwa mwanamke mana juzi kati nlikuwa maeneo hayo.
Tobaaa
 
Tausi: mwenzenu slay Queen maringo na mvuto kama yote
 
Nzi kafiri-mambo mazuri bure yako humu na sihami ng'oo,

Wote nyumba hii nawajua walivo rafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…