Uchaguzi 2020 Kama wapinzani wanaohamia CCM wanaahidiwa kugombea, Je CCM asilia hawatagombea uchaguzi ujao?

Uchaguzi 2020 Kama wapinzani wanaohamia CCM wanaahidiwa kugombea, Je CCM asilia hawatagombea uchaguzi ujao?

Janja janja tu,watajikuta hawana kwakwenda,sisiemu au upinzani,si umeona mwita anaanza kuhangaika hangaika........maana tayari watakuwa useless na hawana madhara
 
Kulingana upepo wa kisiasa ulivyo kwa Sasa Ni dhahiri Sasa wapinzani wengi Wana hofu ya kukosa ubunge kwenye uchaguzi wa Oktoba mwaka huu, na ndio maana wengi wao wameamua kukimbilia Chama Cha Mapinduzi ili kuweza kuona kama wanaweza kurudi bungeni.

Nimekuwa nikijiuliza Sana hili swali kwamba Kama kweli wapinzani wanaohamia CCM wanahama kwa lengo la kugombea kwenye uchaguzi ujao.

Je, CCM asilia hawatapata fursa ya kuogombea mwaka huu?
Fuatilia uzi wa Erythrocyte unaoitwa " Jinsi wasaliti wanavyoula ccm huku wafia chama wakitelekezwa " kila kitu kimewekwa mle
 
Meko ameinunua NCCR ili aiendeshe kama vile vyama vya upinzani kule DRC wakati wa Mobutu.
Naona mbinu za Kuku na Pombe ni zile zile.
 
Back
Top Bottom