Mwanapropaganda
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,235
- 2,508
Habari nyingi kuhusu wasanii(nawaita wasanii japo sio wasanii) wetu wa filamu na muziki ni kuhusu ngono tu! hakuna misuguano ya kikazi au uboreshaji wa kazi zao bali ni tuhuma tu za kunyang'anyana wanaume/wanawake huku wakijiona ni wajanja kubadili wapenzi kama nguo.
Kuna wengine imefikia hatua ya kukiri kuwa na mahusiano na waume za watu na kuzaa nao huku wakiwa na familia zao.
Ukitazama vizuri utaona kuwa msanii mmoja wa kike anakuwa na wanaume zaidi ya watano na huku kila mwanaume naye anakuwa na wanawake kama hao au zaidi na kila mmoja akiwa na wapenzi kama hao au zaidi na kutengeneza mzunguko ambao unaweza kuleta maambukizi ya VVU/UKIMWI na kupoteza nguvu kazi ya taifa.
Kwa upande wangu naona kwamba wasanii maarufu karibu wote wana maambukizi ya VVU ila kwa kuwa ni ugonjwa usiopimwa kwa macho wanaonekana wako vizuri. Hii inafanya sekta ya sanaa nchini hususani ya filamu na musiki kuonekana ni moja ya shughuli hatari sana kwq vijana wanaotegemea kujishughulisha nayo.
Pengine unawafahamu wasanii wenye mahusiano mengi kwa wakati mmoja, unaonaje kama wakipimwa kwa pamoja majibu yatatoka vipi?
Kuna wengine imefikia hatua ya kukiri kuwa na mahusiano na waume za watu na kuzaa nao huku wakiwa na familia zao.
Ukitazama vizuri utaona kuwa msanii mmoja wa kike anakuwa na wanaume zaidi ya watano na huku kila mwanaume naye anakuwa na wanawake kama hao au zaidi na kila mmoja akiwa na wapenzi kama hao au zaidi na kutengeneza mzunguko ambao unaweza kuleta maambukizi ya VVU/UKIMWI na kupoteza nguvu kazi ya taifa.
Kwa upande wangu naona kwamba wasanii maarufu karibu wote wana maambukizi ya VVU ila kwa kuwa ni ugonjwa usiopimwa kwa macho wanaonekana wako vizuri. Hii inafanya sekta ya sanaa nchini hususani ya filamu na musiki kuonekana ni moja ya shughuli hatari sana kwq vijana wanaotegemea kujishughulisha nayo.
Pengine unawafahamu wasanii wenye mahusiano mengi kwa wakati mmoja, unaonaje kama wakipimwa kwa pamoja majibu yatatoka vipi?