Upo kijijini unategemea wakuletee flyover [emoji3]
Kwaheri Chadema
Mtajuta kumsimamisha msaliti wa Nchi apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Mange alikuwa ananing'iniza mapaja Marekani LISU atatangulia mbeleKipindi cha Mange nilikua kwenye magroup yake na ujasiri huu pia kila mtu alikuwa nao
Akili yako ingekuwa juu ungepeleka wewe maendeleo bush kwenu. Huna akili kama mimiAkili yako iko chini sana kiasi kwamba unaona flyover ndio kitu cha maana kwako. Halafu iweje flyover Dodoma sasa hivi si utaonekana limbukeni tu. Dodoma yenyewe kijijini.
Lissu akijeruhiwa ataenda kutibiwa ujerumani mwenzangu na mie utapelekwa mloganzila tutakuletea uji siku mbili tatu kwaheri...Mange alikuwa ananing'iniza mapaja Marekani LISU atatangulia mbele
Acha upumbafu piga hiyo namba uliyowekewaHaya ni maandishi tuu kila mtu anaweza kuandika. Leta uthibitisho makini
Akili yako ingekuwa juu ungepeleka wewe maendeleo bush kwenu. Huna akili kama mimi
Yeah nipo bush, najiona sawaKwakuwa ww ulizaliwa bush ukaja mjini, basi unajua kila mtu kazaliwa bush kisha ndio akaja mjini.
Wee baki ukiimba pambio Lisu akijeruhiwa jiwe atakimbia ikulu usiku mwingiLissu akijeruhiwa ataenda kutibiwa ujerumani mwenzangu na mie utapelekwa mloganzila tutakuletea uji siku mbili tatu kwaheri...
Jiwe akikimbia ikulu nitapata hasara/faida gani?Wee baki ukiimba pambio Lisu akijeruhiwa jiwe atakimbia ikulu usiku mwingi
Mzee unapoteza muda kujibishana na mtu anaemiliki kichwa kama sanduku la kubebea menoKwakuwa ww ulizaliwa bush ukaja mjini, basi unajua kila mtu kazaliwa bush kisha ndio akaja mjini.
Mzee unapoteza muda kujibishana na mtu anaemiliki kichwa kama sanduku la kubebea menoKwakuwa ww ulizaliwa bush ukaja mjini, basi unajua kila mtu kazaliwa bush kisha ndio akaja mjini.
Yeah nipo bush, najiona sawa
Bichwa lake Kama langu that's y kakazana na mimi. Tuache hayakuhusiMzee unapoteza muda kujibishana na mtu anaemiliki kichwa kama sanduku la kubebea meno
Acha upumbafu piga hiyo namba uliyowekewa
Wewe kukaa mjini unaona umeyapatia maisha??? [emoji2][emoji2][emoji2]Hata usingesema uko bush, hilo linaeleweka tu. Ww pambana na hali yako tu huko huko.
Hivi Dom maji yanawatosha?Usidanganywe mkuuu mimi nipo Dodoma.
Hakuna maendeleo yoyote yaliyofanyika Dododoma zaidi ya Ujenzi wa Ofisi tu.
1. Dodoma alituahidi uwanja mkubwa wa michezo imeshindikana.
2. Dodoma alituahidi ujenzi wa uwanja wa Ndege msalato Ives Hindi kana.
3. Alituahidi Barabara ya Duara Ling road imeshindikana.
4. Ujenzi wa hospital kubwa ya uhuru imeahindikana.
AMESHINDWA KULETA MAENDELEO YOYOTE DODOMA.
ππππ Ungejua?Ww hayo mambo ya ndani huyajui, ww kazi yako ni kusifia hapa jukwaani basi, lakini zinapotoka kura hujui.