Uchaguzi 2020 Kama Watanzania Mlikuwa Mnaogopa Kuchagua Upinzania sasa Mmepewa Rais na Sio Mpinzani

Uchaguzi 2020 Kama Watanzania Mlikuwa Mnaogopa Kuchagua Upinzania sasa Mmepewa Rais na Sio Mpinzani

Mimi ni mmoja kati ya wale wachache ambao tulikuwa tunafikiri TUNDU LISSU SIO PRESIDENTIAL MATERIAL KAMA AMBAVYP TULIFIKIRI JPM SIO PRESIDENTIAL MATERIAL.

Baada ya kufuatilia kauli na mwenendo wa JPM kwa MIAKA 5 na Kufuatili kauli na mwenendo wa TUNDU lissu kwa Wiki kadhaa nimegundua kwamba Hata Baada ya MIAKA 5 ya kukaa Madarakani JPM bado hajaweza kuwa PRESIDENTIAL MATERIALS.Bado ana insecurities,inferiorit complex na vitabia flani ambavyo kwa kauli ya Bernard Membe naweza kusema vinaonesha USHAMBA.

Hii imenifanya nijiulize hivie WASUKUMA WANAKWAMA WAPI?

Kwa kipindi kifupi kabisa Tundu LISSU ameweza kuonesha utayari na uwezo wake wa kuwa Amiri JESHI Mkuu.Anaongea kwa ujasiri sio wa kimamlaka bali wa kiuongozi.Anonesha unyenyekevu sio wa kinafiki bali wa asili.HUYU ndiye mtu anayefaa kukabidhiwa nchi.Huyu ndio mtu ambaye watanzania mnapaswa kumpigia KURA ya kuingia PALE Magogoni au kule Chamwino na akafanya KITU cha MAANA

Sisemi sana ili msikilizeni na mumuangalie kisha mseme kama JPM anatoshea kwake.Pamoja na JPM kukaa ikulu kwa miaka 5 bado hajazoe URAIS hajiamini,anaropoka,anatoa maneno ya kiejeli,dharau,vitisho kana kwamba ndo anagombea kwa mara ya kwanza.Kwa hakika kampeni yake ya 2015 alifnaya vizuri zaidi kuliko hata hii ya 2020.

Tuendelee na mjadala huku tukiwa tunapunga upepo wa Bahari ya Hindi huku Kimbiji
matako wew😯 sasa wasukuma wanaingiaj hapo?? Akili ya mavuzi shabiki mandazi
 
Mimi ni mmoja kati ya wale wachache ambao tulikuwa tunafikiri TUNDU LISSU SIO PRESIDENTIAL MATERIAL KAMA AMBAVYP TULIFIKIRI JPM SIO PRESIDENTIAL MATERIAL.

Baada ya kufuatilia kauli na mwenendo wa JPM kwa MIAKA 5 na Kufuatili kauli na mwenendo wa TUNDU lissu kwa Wiki kadhaa nimegundua kwamba Hata Baada ya MIAKA 5 ya kukaa Madarakani JPM bado hajaweza kuwa PRESIDENTIAL MATERIALS.Bado ana insecurities,inferiorit complex na vitabia flani ambavyo kwa kauli ya Bernard Membe naweza kusema vinaonesha USHAMBA.

Hii imenifanya nijiulize hivie WASUKUMA WANAKWAMA WAPI?

Kwa kipindi kifupi kabisa Tundu LISSU ameweza kuonesha utayari na uwezo wake wa kuwa Amiri JESHI Mkuu.Anaongea kwa ujasiri sio wa kimamlaka bali wa kiuongozi.Anonesha unyenyekevu sio wa kinafiki bali wa asili.HUYU ndiye mtu anayefaa kukabidhiwa nchi.Huyu ndio mtu ambaye watanzania mnapaswa kumpigia KURA ya kuingia PALE Magogoni au kule Chamwino na akafanya KITU cha MAANA

Sisemi sana ili msikilizeni na mumuangalie kisha mseme kama JPM anatoshea kwake.Pamoja na JPM kukaa ikulu kwa miaka 5 bado hajazoe URAIS hajiamini,anaropoka,anatoa maneno ya kiejeli,dharau,vitisho kana kwamba ndo anagombea kwa mara ya kwanza.Kwa hakika kampeni yake ya 2015 alifnaya vizuri zaidi kuliko hata hii ya 2020.

Tuendelee na mjadala huku tukiwa tunapunga upepo wa Bahari ya Hindi huku Kimbiji


upresidential material alionyesha ni upi? since aanze kusema miundo mbinu na ndege ni useless, namuona kama litaira flan ivi,
juzi anasema ongezeko la mazao sio maendeleo, daaah kazi ipo
 
Huna cha kuandika zaidi ya hichi na tumeshakichoka kwa kweli POLE SANA.

Mungu Mbariki Raisi wa JMT MH TUNDU A LISSU

Mungu Mbariki Raisi wa Zanzibar MH SEIF SHARIF HAMAD


HAWA NDIO WATETEZI WA KWELI NA NDIO CHAGUO LETU..


1601288550288.png


nadhan chaguo la watanzania unaliona apa
 
Subili waje wanaharakati wa CCM povu liwatoke,Polepole na Bashiru,

Nape alivyopata msamaha na jina lake halikukatwa,sasa amekaa kimya anawachora kina Polepole wanavyo ikaanga CCM kwa mafuta yao
Siku hizi naona wamepwaya....
 
Unaambiwa JPM MWenyewe ameulizwa kama akitakiwa kumpigia kura mgombea mwingine na SIO yeye MWENYEWE atamchagua Nani?Akasema TUNDU LISSU
Wow! Tundu Lisu Mungu amsimamie aje atuongoze kwa haki
 
nimegundua kwamba Hata Baada ya MIAKA 5 ya kukaa Madarakani JPM bado hajaweza kuwa PRESIDENTIAL MATERIALS.Bado ana insecurities,inferiorit complex na vitabia flani ambavyo kwa kauli ya Bernard Membe naweza kusema vinaonesha USHAMBA.
 
Mimi ni mmoja kati ya wale wachache ambao tulikuwa tunafikiri TUNDU LISSU SIO PRESIDENTIAL MATERIAL KAMA AMBAVYP TULIFIKIRI JPM SIO PRESIDENTIAL MATERIAL.

Baada ya kufuatilia kauli na mwenendo wa JPM kwa MIAKA 5 na Kufuatili kauli na mwenendo wa TUNDU lissu kwa Wiki kadhaa nimegundua kwamba Hata Baada ya MIAKA 5 ya kukaa Madarakani JPM bado hajaweza kuwa PRESIDENTIAL MATERIALS.Bado ana insecurities,inferiorit complex na vitabia flani ambavyo kwa kauli ya Bernard Membe naweza kusema vinaonesha USHAMBA.

Hii imenifanya nijiulize hivie WASUKUMA WANAKWAMA WAPI?

Kwa kipindi kifupi kabisa Tundu LISSU ameweza kuonesha utayari na uwezo wake wa kuwa Amiri JESHI Mkuu.Anaongea kwa ujasiri sio wa kimamlaka bali wa kiuongozi.Anonesha unyenyekevu sio wa kinafiki bali wa asili.HUYU ndiye mtu anayefaa kukabidhiwa nchi.Huyu ndio mtu ambaye watanzania mnapaswa kumpigia KURA ya kuingia PALE Magogoni au kule Chamwino na akafanya KITU cha MAANA

Sisemi sana ili msikilizeni na mumuangalie kisha mseme kama JPM anatoshea kwake.Pamoja na JPM kukaa ikulu kwa miaka 5 bado hajazoe URAIS hajiamini,anaropoka,anatoa maneno ya kiejeli,dharau,vitisho kana kwamba ndo anagombea kwa mara ya kwanza.Kwa hakika kampeni yake ya 2015 alifnaya vizuri zaidi kuliko hata hii ya 2020.

Tuendelee na mjadala huku tukiwa tunapunga upepo wa Bahari ya Hindi huku Kimbiji
Mkuu Andoza, hilo ni andilo lenye maneno kuntu sana yaliyopangiliwa vyema ndani ya hoja yako mwanana na iliyojaa madini tupu.Hakika nakuambia hili si neno kutoka ktk akili yako ya kawaida ya kibinadamu, bali ni la Mungu mwenyewe aliye hai, naye amelinena kupitia wewe. Ubarikiwe sana.
 
Back
Top Bottom