Uchaguzi 2020 Kama Watanzania Mlikuwa Mnaogopa Kuchagua Upinzania sasa Mmepewa Rais na Sio Mpinzani

Uchaguzi 2020 Kama Watanzania Mlikuwa Mnaogopa Kuchagua Upinzania sasa Mmepewa Rais na Sio Mpinzani

Mimi ni mmoja kati ya wale wachache ambao tulikuwa tunafikiri TUNDU LISSU SIO PRESIDENTIAL MATERIAL KAMA AMBAVYP TULIFIKIRI JPM SIO PRESIDENTIAL MATERIAL.

Baada ya kufuatilia kauli na mwenendo wa JPM kwa MIAKA 5 na Kufuatili kauli na mwenendo wa TUNDU lissu kwa Wiki kadhaa nimegundua kwamba Hata Baada ya MIAKA 5 ya kukaa Madarakani JPM bado hajaweza kuwa PRESIDENTIAL MATERIALS.Bado ana insecurities,inferiorit complex na vitabia flani ambavyo kwa kauli ya Bernard Membe naweza kusema vinaonesha USHAMBA.

Hii imenifanya nijiulize hivie WASUKUMA WANAKWAMA WAPI?

Kwa kipindi kifupi kabisa Tundu LISSU ameweza kuonesha utayari na uwezo wake wa kuwa Amiri JESHI Mkuu.Anaongea kwa ujasiri sio wa kimamlaka bali wa kiuongozi.Anonesha unyenyekevu sio wa kinafiki bali wa asili.HUYU ndiye mtu anayefaa kukabidhiwa nchi.Huyu ndio mtu ambaye watanzania mnapaswa kumpigia KURA ya kuingia PALE Magogoni au kule Chamwino na akafanya KITU cha MAANA

Sisemi sana ili msikilizeni na mumuangalie kisha mseme kama JPM anatoshea kwake.Pamoja na JPM kukaa ikulu kwa miaka 5 bado hajazoe URAIS hajiamini,anaropoka,anatoa maneno ya kiejeli,dharau,vitisho kana kwamba ndo anagombea kwa mara ya kwanza.Kwa hakika kampeni yake ya 2015 alifnaya vizuri zaidi kuliko hata hii ya 2020.

Tuendelee na mjadala huku tukiwa tunapunga upepo wa Bahari ya Hindi huku Kimbiji
A public figure has to keep his words and that any decision you make in life you are responsible for it
 
Mimi ni mmoja kati ya wale wachache ambao tulikuwa tunafikiri TUNDU LISSU SIO PRESIDENTIAL MATERIAL KAMA AMBAVYP TULIFIKIRI JPM SIO PRESIDENTIAL MATERIAL.

Baada ya kufuatilia kauli na mwenendo wa JPM kwa MIAKA 5 na Kufuatili kauli na mwenendo wa TUNDU lissu kwa Wiki kadhaa nimegundua kwamba Hata Baada ya MIAKA 5 ya kukaa Madarakani JPM bado hajaweza kuwa PRESIDENTIAL MATERIALS.Bado ana insecurities,inferiorit complex na vitabia flani ambavyo kwa kauli ya Bernard Membe naweza kusema vinaonesha USHAMBA.

Hii imenifanya nijiulize hivie WASUKUMA WANAKWAMA WAPI?

Kwa kipindi kifupi kabisa Tundu LISSU ameweza kuonesha utayari na uwezo wake wa kuwa Amiri JESHI Mkuu.Anaongea kwa ujasiri sio wa kimamlaka bali wa kiuongozi.Anonesha unyenyekevu sio wa kinafiki bali wa asili.HUYU ndiye mtu anayefaa kukabidhiwa nchi.Huyu ndio mtu ambaye watanzania mnapaswa kumpigia KURA ya kuingia PALE Magogoni au kule Chamwino na akafanya KITU cha MAANA

Sisemi sana ili msikilizeni na mumuangalie kisha mseme kama JPM anatoshea kwake.Pamoja na JPM kukaa ikulu kwa miaka 5 bado hajazoe URAIS hajiamini,anaropoka,anatoa maneno ya kiejeli,dharau,vitisho kana kwamba ndo anagombea kwa mara ya kwanza.Kwa hakika kampeni yake ya 2015 alifnaya vizuri zaidi kuliko hata hii ya 2020.

Tuendelee na mjadala huku tukiwa tunapunga upepo wa Bahari ya Hindi huku Kimbiji
Kwa nini unahusisha ushamba wa Magufuli na Wasukuma?

Wewe ni mkabila?

Unawajua Paul Bomani? Mark Bomani? Francis Nyalali? David Makwaia? Andrew Shija? Unawajua Wasukuma kemkem ambao wametumikia taifa hili kwa weledi mkubwa?
 
Mimi ni mmoja kati ya wale wachache ambao tulikuwa tunafikiri TUNDU LISSU SIO PRESIDENTIAL MATERIAL KAMA AMBAVYP TULIFIKIRI JPM SIO PRESIDENTIAL MATERIAL.

Baada ya kufuatilia kauli na mwenendo wa JPM kwa MIAKA 5 na Kufuatili kauli na mwenendo wa TUNDU lissu kwa Wiki kadhaa nimegundua kwamba Hata Baada ya MIAKA 5 ya kukaa Madarakani JPM bado hajaweza kuwa PRESIDENTIAL MATERIALS.Bado ana insecurities,inferiorit complex na vitabia flani ambavyo kwa kauli ya Bernard Membe naweza kusema vinaonesha USHAMBA.

Hii imenifanya nijiulize hivie WASUKUMA WANAKWAMA WAPI?

Kwa kipindi kifupi kabisa Tundu LISSU ameweza kuonesha utayari na uwezo wake wa kuwa Amiri JESHI Mkuu.Anaongea kwa ujasiri sio wa kimamlaka bali wa kiuongozi.Anonesha unyenyekevu sio wa kinafiki bali wa asili.HUYU ndiye mtu anayefaa kukabidhiwa nchi.Huyu ndio mtu ambaye watanzania mnapaswa kumpigia KURA ya kuingia PALE Magogoni au kule Chamwino na akafanya KITU cha MAANA

Sisemi sana ili msikilizeni na mumuangalie kisha mseme kama JPM anatoshea kwake.Pamoja na JPM kukaa ikulu kwa miaka 5 bado hajazoe URAIS hajiamini,anaropoka,anatoa maneno ya kiejeli,dharau,vitisho kana kwamba ndo anagombea kwa mara ya kwanza.Kwa hakika kampeni yake ya 2015 alifnaya vizuri zaidi kuliko hata hii ya 2020.

Tuendelee na mjadala huku tukiwa tunapunga upepo wa Bahari ya Hindi huku Kimbiji
Umemaliza ukweli wote. Yaani mtu ni Rais lakini ni mwongo, mwoga, hajiamini na hata haeleweki
 
Mimi ni mmoja kati ya wale wachache ambao tulikuwa tunafikiri TUNDU LISSU SIO PRESIDENTIAL MATERIAL KAMA AMBAVYP TULIFIKIRI JPM SIO PRESIDENTIAL MATERIAL.

Baada ya kufuatilia kauli na mwenendo wa JPM kwa MIAKA 5 na Kufuatili kauli na mwenendo wa TUNDU lissu kwa Wiki kadhaa nimegundua kwamba Hata Baada ya MIAKA 5 ya kukaa Madarakani JPM bado hajaweza kuwa PRESIDENTIAL MATERIALS.Bado ana insecurities,inferiorit complex na vitabia flani ambavyo kwa kauli ya Bernard Membe naweza kusema vinaonesha USHAMBA.

Hii imenifanya nijiulize hivie WASUKUMA WANAKWAMA WAPI?

Kwa kipindi kifupi kabisa Tundu LISSU ameweza kuonesha utayari na uwezo wake wa kuwa Amiri JESHI Mkuu.Anaongea kwa ujasiri sio wa kimamlaka bali wa kiuongozi.Anonesha unyenyekevu sio wa kinafiki bali wa asili.HUYU ndiye mtu anayefaa kukabidhiwa nchi.Huyu ndio mtu ambaye watanzania mnapaswa kumpigia KURA ya kuingia PALE Magogoni au kule Chamwino na akafanya KITU cha MAANA

Sisemi sana ili msikilizeni na mumuangalie kisha mseme kama JPM anatoshea kwake.Pamoja na JPM kukaa ikulu kwa miaka 5 bado hajazoe URAIS hajiamini,anaropoka,anatoa maneno ya kiejeli,dharau,vitisho kana kwamba ndo anagombea kwa mara ya kwanza.Kwa hakika kampeni yake ya 2015 alifnaya vizuri zaidi kuliko hata hii ya 2020.

Tuendelee na mjadala huku tukiwa tunapunga upepo wa Bahari ya Hindi huku Kimbiji
Mgombea wetu wa CCM akiwa Zanzibar anawaeleza Wazanzibar kuwa wasiondoke uwanjani hapo maana akimaliza hotuba bado Kuna show kabambe kutoka kwa wasanii na watamuona nae akicheza.... Wazenji nao viburi wakaondoka wakati anazungumza. Aisee!
 
Mimi ni mmoja kati ya wale wachache ambao tulikuwa tunafikiri TUNDU LISSU SIO PRESIDENTIAL MATERIAL KAMA AMBAVYP TULIFIKIRI JPM SIO PRESIDENTIAL MATERIAL.

Baada ya kufuatilia kauli na mwenendo wa JPM kwa MIAKA 5 na Kufuatili kauli na mwenendo wa TUNDU lissu kwa Wiki kadhaa nimegundua kwamba Hata Baada ya MIAKA 5 ya kukaa Madarakani JPM bado hajaweza kuwa PRESIDENTIAL MATERIALS.Bado ana insecurities,inferiorit complex na vitabia flani ambavyo kwa kauli ya Bernard Membe naweza kusema vinaonesha USHAMBA.

Hii imenifanya nijiulize hivie WASUKUMA WANAKWAMA WAPI?

Kwa kipindi kifupi kabisa Tundu LISSU ameweza kuonesha utayari na uwezo wake wa kuwa Amiri JESHI Mkuu.Anaongea kwa ujasiri sio wa kimamlaka bali wa kiuongozi.Anonesha unyenyekevu sio wa kinafiki bali wa asili.HUYU ndiye mtu anayefaa kukabidhiwa nchi.Huyu ndio mtu ambaye watanzania mnapaswa kumpigia KURA ya kuingia PALE Magogoni au kule Chamwino na akafanya KITU cha MAANA

Sisemi sana ili msikilizeni na mumuangalie kisha mseme kama JPM anatoshea kwake.Pamoja na JPM kukaa ikulu kwa miaka 5 bado hajazoe URAIS hajiamini,anaropoka,anatoa maneno ya kiejeli,dharau,vitisho kana kwamba ndo anagombea kwa mara ya kwanza.Kwa hakika kampeni yake ya 2015 alifnaya vizuri zaidi kuliko hata hii ya 2020.

Tuendelee na mjadala huku tukiwa tunapunga upepo wa Bahari ya Hindi huku Kimbiji
Huyu ndiye Rais chaguo la watanzania. Tukimkosa huyu hatutakuja tupate mwingine. Watanzania tusifanye makosa tena safari hii. Tumpe kura za ndio Mh Rais Tundu Antipas Mugway Lissu atuongoze 202-2025 ✔️ ✔️ ✔️ ✔️ ✔️ ✔️ ✔️ ✔️ ✔️ ✔️ ✔️ ✔️ ✔️ ✔️ ✔️ ✔️
 
Kwa nini unahusisha ushamba wa Magufuli na Wasukuma?

Wewe ni mkabila?

Unawajua Paul Bomani? Mark Bomani? Francis Nyalali? David Makwaia? Andrew Shija? Unawajua Wasukuma kemkem ambao wametumikia taifa hili kwa weledi mkubwa?
Magufuli itakua sio msukuma
 
Back
Top Bottom