britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Nimejiuliza sana juu ya hivi Kwanini lisiwepo somo la self defense Kama Ulaya mtu ajue kuogelea na kujikinga na baadhi ya majanga?
Simaanishi waliopata ajali ndo waogelee namaanisha mfumo wetu wa elimu wa ku kalili mambo ya kinjekitile kichwani bila msaada wowote bora Liwepo somo la uokoaji uogeleaji na maisha halisi kuliko kila siku tunajifunza ambayo hayasaidii!
Jiulize swali kwakuwa tunaingia tu kazini kula pesa wakati hatujui hata Majukumu yetu ! Waokoaji wa ndege ilozama walizidiwa Mpaka na watoto wadogo wavuvi ambao waliweza zama ndani wakati waokoaji wakitegeana!
Tuna haja ya kubadili mfumo wa Elimu yetu uendane na Maisha halisi
Mtu anaitwa Mwanamaji kikosi cha uokoaji Uko angalia vema hawajui hata kuogelea
Britanicca
Simaanishi waliopata ajali ndo waogelee namaanisha mfumo wetu wa elimu wa ku kalili mambo ya kinjekitile kichwani bila msaada wowote bora Liwepo somo la uokoaji uogeleaji na maisha halisi kuliko kila siku tunajifunza ambayo hayasaidii!
Jiulize swali kwakuwa tunaingia tu kazini kula pesa wakati hatujui hata Majukumu yetu ! Waokoaji wa ndege ilozama walizidiwa Mpaka na watoto wadogo wavuvi ambao waliweza zama ndani wakati waokoaji wakitegeana!
Tuna haja ya kubadili mfumo wa Elimu yetu uendane na Maisha halisi
Mtu anaitwa Mwanamaji kikosi cha uokoaji Uko angalia vema hawajui hata kuogelea
Britanicca