KAMA WAZAZI NA PIA WATOTO KUNA LA KUJIFUNZA HAPA.

KAMA WAZAZI NA PIA WATOTO KUNA LA KUJIFUNZA HAPA.

BANDOKITITA

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
1,484
Reaction score
2,852
Hii clip imenifikirisha sn km mzazi na km mtoto kwa wazazi wangu. Ndiyo maana nikaileta hapa ili wengine nao wapate kujifunza jambo.

NB.
Tuchangie hoja km wazazi au watoto wa wazazi wetu siyo kuingiza mahaba ya u SIMBA au YANGA. Kuna somo kubwa sn hapa.
 
Mambo ya nani Kama Mama yanimbwa na vijana ambao hawana familia na Kama wanazo hizo familia hawajafika hatua ya kuwa bread winner

Mama ni bora Sana Ila sacrifices ya baba ni kubwa Sana.
 
mama anamwambia mtoto anasema, kama sikukubeba kwenye hili tumbo miezi tisa......

Je Baba yeye anasemaje ? baba anasemaje?
 
Back
Top Bottom