Kama Waziri Mkuu hahitajiki basi mwambieni tu. Hivi vitimbi dhidi yake hastahili

Kama Waziri Mkuu hahitajiki basi mwambieni tu. Hivi vitimbi dhidi yake hastahili

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Makonda ni mdogo sana siyo kiumri tu, bali hata kwa cheo. Hivyo hana sifa wala hadhi ya kumtaja waziri mkuu kwa muktadha wa kumuamrisha. Eti anampq PM miezi 6 awe amemaliza migogoro ya ardhi. Eboo!

PM akigoma kutekeleza hayo maagizo Makonda atamfanya nn? Mdomo wa Makonda ufungwe breki ili awe na heshima kwa viongozi wa nchi. PM ni mtu muungwana na mchapakazi sana. Asibagazwe kizembe hiv.

Halafu mwambieni Makonda ya kwamba uongozi siyo kufokafoka na kuwatishia wengine. Uongozi ni kuonesha njia.

By the way atoke hadharani na kuzitolea ufafanzi tuhuma nyingi zinazomkabili.
 
Kweli mkuu mimi sio mfuatiliaji wa siasa ila naona kama wanamdhalilisha , na kwa serikali hii ndio mtu ambae hata mimi mwananchi wa kawaida namuona anapiga kazi sana , huyu angepata kashfa yoyote wangemtoa hata ngozi hadharani
 
Kweli mkuu mimi sio mfuatiliaji wa siasa ila naona kama wanamdhalilisha , na kwa serikali hii ndio mtu ambae hata mimi mwananchi wa kawaida namuona anapiga kazi sana , huyu angepata kashfa yoyote wangemtoa hata ngozi hadharani
Yaani ! Mara kawekewa naibu, mara Makonda naye anakuja kumuamrisha. Haipendezi.
 
Makonda ni mdogo sana siyo kiumri tu, bali hata kwa cheo. Hivyo hana sifa wa kumtaja waziri mkuu kwa muktadha wa kumuamrisha. Eti anampq PM miezi 6 awe amemaliza migogoro ya ardhi. Eboo...
Ungelikuwa Mwanasiasa ungelijua kuwa mamlaka yooooote ya Kiongozi wa Serikali yanaanzia kwenye chama chake cha siasa.
 
Sina hakika sana kama Makonda anatumiwa na watu.

Rais wa Tanzania hana kabisa haja ya kutumia proxies kumwondoa mtu ambaye anamteua yeye.

Makonda ni loose cannon tu.

A loose cannon going rogue, ought to be expected and shouldn’t be all that surprising.
 
Makonda ni mdogo sana siyo kiumri tu, bali hata kwa cheo. Hivyo hana sifa wa kumtaja waziri mkuu kwa muktadha wa kumuamrisha...
Makonda kwenye hili kapwaya sana sera za majukwaani huwa hazifaniwi kwasababu siyo za kitaalamu
 
Back
Top Bottom