Kama Waziri Mkuu hahitajiki basi mwambieni tu. Hivi vitimbi dhidi yake hastahili

Kama Waziri Mkuu hahitajiki basi mwambieni tu. Hivi vitimbi dhidi yake hastahili

Makonda ni mdogo sana siyo kiumri tu, bali hata kwa cheo. Hivyo hana sifa wa kumtaja waziri mkuu kwa muktadha wa kumuamrisha...
Hebu tulieni hivi vitu havitokei kwa bahati mbaya!

Hizi ni plan za wakubwa wenye nchi!

Ni kama shambulio la lisu liliachwa litokee kwa malengo maalum na likawa, unafikiri dola ingetaka asishambuliwe unafikiri angehambuliwa?

Huu ni mchezo wa akili sana!wewe unaaminije kuwa makonda kuwa yupo against pm? Naaminije kama huyo makonda yupo upande huo unaohisi yupo!??kama ni vice versa ya hicho ulichoandika utajuaje!!?

Kwa jicho la kisomi makonda anampalilia pm kisiasa aanze kuonekana kama reincarnation ya JPM kwenye utawala wa mama!!

Tulieni!
 
Sina hakika sana kama Makonda anatumiwa na watu...
Makonda hatumiwi na Rais.huyu kutokana na ukilaza wake anatumiwa na ccm nzima ili kuwapa hofu watu fulani, wawe nje ya ccm au ndani ya CCM.

Mwenyewe anajiona mwamba ile kuambiwa mala kachelo sijui, na ile miwani hake ya kuchomea.

Mwisho wa siku ccm wajanja walioenda shule kidogo wanamchinjia bahalini.
 
Sina hakika sana kama Makonda anatumiwa na watu.

Rais wa Tanzania hana kabisa haja ya kutumia proxies kumwondoa mtu ambaye anamteua yeye.

Makonda ni loose cannon tu.

A loose cannon going rogue, ought to be expected and shouldn’t be that surprising.
Hata saa mbovu huonyesha wakati sahihi mara mbili kwa siku.

Kuna kipindi hata vibovu huwa na matumizi yake.

You'd be amazed at how a loose cannon can become handy at a time of dire need in a battle when all proper weapons have failed.
 
Hata saa mbovu huonyesha wakati sahihi mara mbili kwa siku.

Kuna kipindi hata vibovu huwa na matumizi yake.

You'd be amazed at how a loose cannon can become handy at a time of dire need in a battle when all proper weapons have failed.
Samia can easily get rid of the PM.

She doesn’t need proxies to achieve that.
 
Samia can easily get rid of the PM.

She doesn’t need proxies to achieve that.
Given her numerous portrayal of disdain towards him, I doubt it's as easy as we are made to believe.

There have been numerous attempts to discredit and demean him maybe in hopes of demoralizing him.

But then again, nothing is as it seems when it comes to politics.
An initial plot of ruining someone can in a moment get twisted into promoting the same person as it will seem viable politically.
 
Kweli mkuu mimi sio mfuatiliaji wa siasa ila naona kama wanamdhalilisha , na kwa serikali hii ndio mtu ambae hata mimi mwananchi wa kawaida namuona anapiga kazi sana , huyu angepata kashfa yoyote wangemtoa hata ngozi hadharani
HawamtaKi
1.wamempa naibu waziri mkuu
2.wameona hajiuzulu wamemtuma makonda🤣🤣🤣🤣💺
 
Kama bwana yule alishindwa kumng'oa Kafone, akaishia kupiga mkwala wa 'kuwagonga' shangazi zake, basi waliobaki hawana uwezo wa kumuondoa...
 
Makonda ni mdogo sana siyo kiumri tu, bali hata kwa cheo. Hivyo hana sifa wa kumtaja waziri mkuu kwa muktadha wa kumuamrisha...
Msiomfahamu Majaliwa mnaweza kudhani anaonewa...

Magu almanusura amtumbue maana jamaa ana tamaa zake daima
 
Makonda ni mdogo sana siyo kiumri tu, bali hata kwa cheo. Hivyo hana sifa wa kumtaja waziri mkuu kwa muktadha wa kumuamrisha...
Msiomfahamu Majaliwa mnaweza kudhani anaonewa...

Magu almanusura amtumbue maana jamaa ana tamaa zake daima
 
Makonda hatumiwi na Rais.huyu kutokana na ukilaza wake anatumiwa na ccm nzima ili kuwapa hofu watu fulani, wawe nje ya ccm au ndani...
Subwenga!

Jamaa ana nyota Kali.

Mkwere alimiwini.

Jiwe alimiwini.

Maza ndom kabisaa!!

Sasa huyu huwezi shindana nae
 
Tatizo wanaopaswa kumnyamazisha ndio waliompa ruhusa ya kuzungumza.

Makonda kwa tamaa zake za kingese linakubali kutumika kama chambo siku zote.

Ipo siku katika uhai huu huu li Makonda litakaa gerezani.
Umeongea ukweli mtupuu.
 
Back
Top Bottom