- Thread starter
- #41
The best comment ever read beforeHawamtaKi
1.wamempa naibu waziri mkuu
2.wameona hajiuzulu wamemtuma makonda🤣🤣🤣🤣💺
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The best comment ever read beforeHawamtaKi
1.wamempa naibu waziri mkuu
2.wameona hajiuzulu wamemtuma makonda🤣🤣🤣🤣💺
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.Makonda ni mdogo sana siyo kiumri tu, bali hata kwa cheo. Hivyo hana sifa wa kumtaja waziri mkuu kwa muktadha wa kumuamrisha. Eti anampq PM miezi 6 awe amemaliza migogoro ya ardhi. Eboo!
PM akigoma kutekeleza hayo maagizo Makonda atamfanya nn? Mdomo wa Makonda ufungwe breki ili awe na heshima kwa viongozi wa nchi. PM ni mtu muungwana na mchapakazi sana. Asibagazwe kizembe hiv.
Halafu mwambieni Makonda ya kwamba uongozi siyo kufokafoka na kuwatishia wengine. Uongozi ni kuonesha njia.
By the way atoke hadharani na kuzitolea ufafanzi tuhuma nyingi zinazomkabili.
Kwahiyo mambo ya migogoro ya ardhi ni ya chama au serikali? Hata huko kichama bado PM yuko juu zaidi ya huyu nyamitakoo baba keegankilaza wewe Majaliwa ameagizwa na Chama Makonda ni msemaji tu wa itikadi falsafa na dhima ya Chama
Haoni heshima yakeAjiuzuru tuu anadhaliliswa😂😂🤣🤣💺
Hawana address ya PM mpaka watoke hadharani kumwagiza?kilaza wewe Majaliwa ameagizwa na Chama Makonda ni msemaji tu wa itikadi falsafa na dhima ya Chama
Kuna kilaza km ww, aliagizwa na kikao kipi.kilaza wewe Majaliwa ameagizwa na Chama Makonda ni msemaji tu wa itikadi falsafa na dhima ya Chama
Na hata ulisi haambulii 😂😂😂Makonda hatumiwi na Rais.huyu kutokana na ukilaza wake anatumiwa na ccm nzima ili kuwapa hofu watu fulani, wawe nje ya ccm au ndani ya ccm.
Mwenyewe anajiona mwamba ile kuambiwa mala kachelo sijui, na ile miwani hake ya kuchomea.
Mwisho wa siku ccm wajanja walioenda shule kidogo wanamchinjia bahalini.
Wewe unayejua tafadhali tuelezeUsilolijuwa ni usiku wa kiza.
Utajikuta unajicheka bwana mdogoVP katika familia yenu labdq.
Jamaa ni mchawi hajui kitu,mshirikina tuJamaa anajua sn udhaifu wa system yetu
For that matter he Is an outlier... does not fit well with the restKweli mkuu mimi sio mfuatiliaji wa siasa ila naona kama wanamdhalilisha , na kwa serikali hii ndio mtu ambae hata mimi mwananchi wa kawaida namuona anapiga kazi sana , huyu angepata kashfa yoyote wangemtoa hata ngozi hadharani
Ushirikina unamsaidia snJamaa ni mchawi hajui kitu,mshirikina tu