Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,943
Habari!
Nimesikitika sana kusikia habari ya mwanaJF mwenzetu kujinyonga kisa ugumu wa maisha.
Tafsiri ya ugumu wa maisha hutofautiana kutoka mtu mmoja hadi mwingine kulingana na background ya mtu.
Mwingine akisema ninapitia maisha magumu anamaanisha hata kula yake ni ya kimuujiza, mwingine akisema maisha magumu ujue anamaanisha kuwa hawezi kupata mahitaji au fedha ya kufanya surplus lakini anakula na analala bila wasiwasi.
Sasa kama unawaza kujinyonga kisa hujui pa kula au hata pa kulala ni shida kwako usisite kuja PM, nitakuhoji na nikijiridhisha kuwa una hali ngumu zaidi nitakusaidia bila masharti.
Note: Swali la kwanza nitakalokuuliza ni;
Unatumia smartphone ya nani na ina gharama gani, kwanini hujaigeuza (kuiuza) kuwa mtaji wa kununua na kuuza matunda?
Nimesikitika sana kusikia habari ya mwanaJF mwenzetu kujinyonga kisa ugumu wa maisha.
Tafsiri ya ugumu wa maisha hutofautiana kutoka mtu mmoja hadi mwingine kulingana na background ya mtu.
Mwingine akisema ninapitia maisha magumu anamaanisha hata kula yake ni ya kimuujiza, mwingine akisema maisha magumu ujue anamaanisha kuwa hawezi kupata mahitaji au fedha ya kufanya surplus lakini anakula na analala bila wasiwasi.
Sasa kama unawaza kujinyonga kisa hujui pa kula au hata pa kulala ni shida kwako usisite kuja PM, nitakuhoji na nikijiridhisha kuwa una hali ngumu zaidi nitakusaidia bila masharti.
Note: Swali la kwanza nitakalokuuliza ni;
Unatumia smartphone ya nani na ina gharama gani, kwanini hujaigeuza (kuiuza) kuwa mtaji wa kununua na kuuza matunda?