Kama wazo la kujinyonga linakujia mara kwa mara kwasababu ya ugumu wa maisha, pitia hapa

Kama wazo la kujinyonga linakujia mara kwa mara kwasababu ya ugumu wa maisha, pitia hapa

Inategemea na wewe jinsi ulivyo wengine unaweza kusema Wana roho/miili mepesi
Hawawezi kukabiliana na changamoto
Na haswa Hao wanahitaji msaada
Ila Kuna watu humu wakisema watiririke kwa waliyoyapitia kwenye Maisha"unaeza kusema mbona hawajaamua kuchukua uamuzi wa kujitoa uhai" unakuta mtu una makesi, una matatizo ya kifamilia, una matatatizo ya kifedha, mambo hayaendi lkn unakomaa tu
Ila nachojua watu tumeumbwa tofauti na ulilelewa ktk malezi gani?

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna uzi humu unasema KAZI GANI ULIFANFA ULIPOPITIA MSOTO humo ndio utajua watu majasiri na wamepitia magumu ila wanapambana hadi kieleweke

Watu wangepitia Uzi ule wangejifunza mengi na kuacha hayo mawazo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukifikia stage ya kujiua,hata kama una smartphone hutaweza kuiuza,na ukiiuza haitauzika kwa sababu unakuwa na VIBE MBAYA sana.ni suala la mtazamo zaidi kuliko uwezo.
Sijazungumzia kujinyonga elewa nilichojibu.

Portfolio | 2020
 
NAPINGANA NA WEWE

Elewa mantiki husika, elewa level ya tatizo lililozungumziwa na ndio maana ajasema “kuwa na Smartphone” bali “una Smartphone ya shingapi” huwezi eti ukawa na shida kihasi cha kula yako ya leo huijui na kesho changamoto then ukawa na Smartphone ya thamani ya 200,000/= hapo hata mwenye ujaona umuhimu wa kujisaidia uza simu hiyo nunu Smartphone ya 60,000/= mbona hii nayotumia mie nimenunua 50,000/=

Hii nishafanya sana nikivyokuwa nasoma.

Portfolio | 2020
Ni Sawa na una shida kwahio uuze kitendea kazi chako, no sio sahihi! Hata hivyo "smartphone ya shilingi ngapi" does guarantee kiwango cha shida au kiwango cha kuhitaji msaada. Very soon itakua kama basic need tu kuwa na smartphone. Sasa Mpwa nikiuza smartphone nitawezaje kutafuta kazi, kuperuzi taarifa za kazi na kutuma maombi???

Kwa mtazamo wangu, ingekua Mimi ningekusaidia kwa kadiri Mungu atakavyosaidia bila kuwa judgemental. Maana kama unaanza kuniuliza "simu ya shilingi ngapi", then possibly utaniuliza umevaa nguo za shilingi ngapi, viatu vya bei gani, umekula msosi wa bei gani, unaishi nyumba ya bei gani etc.

Kuwa na shida, stress, depression and the like hadi kufikia hatua ya kajinyonga au kuomba msaada doesn't mean niwe na simu ya being ndogo, niwe rough, nisiwe na makazi mazuri, No, TUNATOFAUTIANA KIWANGO CHA UHITAJI kwahio ukishindwa kunisaidia kwa sababu ya "bei ya simu" nitakushangaa Mpwa.

Miaka kadhaa hapa jukwaani alijitokeza binti mmoja akaanzisha Uzi kuwa "Anauza Uchi ili aweze kuishi mjini na apate ada". Nilimfuata inbox tukaongea kwa kirefu sana na niliweza kumpa nilichompa, nimefurahi siku moja kumuona amekua AGENT anatangaza bidhaa sake kwenye makundi ya WhatsApp.

Sasa tukisema uza simu au lugha yoyote yenye uelekeo wa kuwa judgemental hatutakua tunawasaidia, wengine tunahitaji maneno ya faraja tu.

Hapo vipi Mpwa, nikutakie Siku njema.
 
Sijazungumzia kujinyonga elewa nilichojibu.

Portfolio | 2020
Nimekuelewa,nimeweka msisitizo kwamba,unapokuwa na anxiety hata njia ya nyumbani unasahau,hata mambo madogo utashindwa kuyaamua au kuyafanya.
 
Ni Sawa na una shida kwahio uuze kitendea kazi chako, no sio sahihi! Hata hivyo "smartphone ya shilingi ngapi" does guarantee kiwango cha shida au kiwango cha kuhitaji msaada. Very soon itakua kama basic need tu kuwa na smartphone. Sasa Mpwa nikiuza smartphone nitawezaje kutafuta kazi, kuperuzi taarifa za kazi na kutuma maombi???

Kwa mtazamo wangu, ingekua Mimi ningekusaidia kwa kadiri Mungu atakavyosaidia bila kuwa judgemental. Maana kama unaanza kuniuliza "simu ya shilingi ngapi", then possibly utaniuliza umevaa nguo za shilingi ngapi, viatu vya bei gani, umekula msosi wa bei gani, unaishi nyumba ya bei gani etc.

Kuwa na shida, stress, depression and the like hadi kufikia hatua ya kajinyonga au kuomba msaada doesn't mean niwe na simu ya being ndogo, niwe rough, nisiwe na makazi mazuri, No, TUNATOFAUTIANA KIWANGO CHA UHITAJI kwahio ukishindwa kunisaidia kwa sababu ya "bei ya simu" nitakushangaa Mpwa.

Miaka kadhaa hapa jukwaani alijitokeza binti mmoja akaanzisha Uzi kuwa "Anauza Uchi ili aweze kuishi mjini na apate ada". Nilimfuata inbox tukaongea kwa kirefu sana na niliweza kumpa nilichompa, nimefurahi siku moja kumuona amekua AGENT anatangaza bidhaa sake kwenye makundi ya WhatsApp.

Sasa tukisema uza simu au lugha yoyote yenye uelekeo wa kuwa judgemental hatutakua tunawasaidia, wengine tunahitaji maneno ya faraja tu.

Hapo vipi Mpwa, nikutakie Siku njema.
Pokea like yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Sawa na una shida kwahio uuze kitendea kazi chako, no sio sahihi! Hata hivyo "smartphone ya shilingi ngapi" does guarantee kiwango cha shida au kiwango cha kuhitaji msaada. Very soon itakua kama basic need tu kuwa na smartphone. Sasa Mpwa nikiuza smartphone nitawezaje kutafuta kazi, kuperuzi taarifa za kazi na kutuma maombi???

Kwa mtazamo wangu, ingekua Mimi ningekusaidia kwa kadiri Mungu atakavyosaidia bila kuwa judgemental. Maana kama unaanza kuniuliza "simu ya shilingi ngapi", then possibly utaniuliza umevaa nguo za shilingi ngapi, viatu vya bei gani, umekula msosi wa bei gani, unaishi nyumba ya bei gani etc.

Kuwa na shida, stress, depression and the like hadi kufikia hatua ya kajinyonga au kuomba msaada doesn't mean niwe na simu ya being ndogo, niwe rough, nisiwe na makazi mazuri, No, TUNATOFAUTIANA KIWANGO CHA UHITAJI kwahio ukishindwa kunisaidia kwa sababu ya "bei ya simu" nitakushangaa Mpwa.

Miaka kadhaa hapa jukwaani alijitokeza binti mmoja akaanzisha Uzi kuwa "Anauza Uchi ili aweze kuishi mjini na apate ada". Nilimfuata inbox tukaongea kwa kirefu sana na niliweza kumpa nilichompa, nimefurahi siku moja kumuona amekua AGENT anatangaza bidhaa sake kwenye makundi ya WhatsApp.

Sasa tukisema uza simu au lugha yoyote yenye uelekeo wa kuwa judgemental hatutakua tunawasaidia, wengine tunahitaji maneno ya faraja tu.

Hapo vipi Mpwa, nikutakie Siku njema.
Nahisi hatutaelewana mpaka duniaa inaisha kwa lugha nyingine ni unajua kuandika vizuri ila hujui kusoma hoja vizuri.

Kwakuongeza jifunze kusoma kilichoandikwa.

Period, naomba upigwe na njaa ya week moja ndio utajua ni tofauti ya ‘Smartphone’ na ‘Smartphone ya shingapi’

Portfolio | 2020
 
Pamoja na kuzaliwa familia masikini wenye uwezo mdogo lakini nakula vizuri, namiliki smartphone ya 200k na nilinunua mwenyewe pia namudu kuweka vocha za bundle ili kusukuma siku lakini maisha yangu bado siyo mazuri, furaha ni ya kulazimisha kwa sababu ya ugonjwa ulionipa ulemavu. Ulemavu ukaleta changamoto nyingine nyingi maumivu ya kila siku na zingine ni za aibu kuelezea hapa.

Upweke kwangu ni 24/7 hivyo mawazo ya kufa huwa yanakuja mara kwa mara tena akili inaniambia kabisa "KUFA NI KUPUMZIKA" mara zingine natamani ningekuwa jela kuliko kuumwa ndani, au ningekuwa masikini wa mwisho lakini niwe na Afya njema. Wanaojiua wanasiri nyingi ambazo hazisemeki wakati mwingine. Imagine mtu ambaye ana Impotence anawezaje kusema

NB: kuna watu watadhani mimi ndo nina impotence
Pole sana daviie, Usichoke kuomba huruma ya Mwenyezi Mungu ipo siku atakupatia ahueni na kwa maombezi ya Mt. Yuda Tadei usifikiri hata siku moja kwamba bwana amekuacha!!

Magumu ni sehemu ya maisha ya mwanadamu huku duniani, usikate tamaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari!

Nimesikitika sana kusikia habari ya mwanaJF mwenzetu kujinyonga kisa ugumu wa maisha.

Tafsiri ya ugumu wa maisha hutofautiana kutoka mtu mmoja hadi mwingine kulingana na background ya mtu.

Mwingine akisema ninapitia maisha magumu anamaanisha hata kula yake ni ya kimuujiza, mwingine akisema maisha magumu ujue anamaanisha kuwa hawezi kupata mahitaji au fedha ya kufanya surplus lakini anakula na analala bila wasiwasi.

Sasa kama unawaza kujinyonga kisa hujui pa kula au hata pa kulala ni shida kwako usisite kuja PM, nitakuhoji na nikijiridhisha kuwa una hali ngumu zaidi nitakusaidia bila masharti.

Note: Swali la kwanza nitakalokuuliza ni;
Unatumia smartphone ya nani na ina gharama gani, kwanini hujaigeuza (kuiuza) kuwa mtaji wa kununua na kuuza matunda?
Asee...
 
Elli.
Ankali umeongea mengi mazuri sana, heshima nyingi kwako... ila pale ulipogusia “tunatofautiana uhitaji” ndipo kwenye msingi wa mada mezani.

Umeeleza hayo kwa kadri ya mdau uliyekuwa unamjibu, ila hoja ya Bonde la Baraka ni kwa wale ambao hata ‘kula’ yao ni muujiza.... ni kweli kuwa tunatofautiana uhitaji na hata mitazamo juu ya ‘mapitio’ maishani.
 
Elli.
Ankali umeongea mengi mazuri sana, heshima nyingi kwako... ila pale ulipogusia “tunatofautiana uhitaji” ndipo kwenye msingi wa mada mezani.

Umeeleza hayo kwa kadri ya mdau uliyekuwa unamjibu, ila hoja ya Bonde la Baraka ni kwa wale ambao hata ‘kula’ yao ni muujiza.... ni kweli kuwa tunatofautiana uhitaji na hata mitazamo juu ya ‘mapitio’ maishani.
Barikiwa sana na asante kwa kujazia pale ambapo sikupataja, ndio afya ya mjadala. Blessed
 
NAPINGANA NA WEWE

Elewa mantiki husika, elewa level ya tatizo lililozungumziwa na ndio maana ajasema “kuwa na Smartphone” bali “una Smartphone ya shingapi” huwezi eti ukawa na shida kihasi cha kula yako ya leo huijui na kesho changamoto then ukawa na Smartphone ya thamani ya 200,000/= hapo hata mwenye ujaona umuhimu wa kujisaidia uza simu hiyo nunu Smartphone ya 60,000/= mbona hii nayotumia mie nimenunua 50,000/=

Hii nishafanya sana nikivyokuwa nasoma.

Portfolio | 2020
Akishauza halafu?
 
Back
Top Bottom