Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PoleHehehehehe...mimi leo nmesoma salio langu mpk nikashangaa sijui naishije mpk mwisho wa mwezi
Najiuliza tu hapa kama nina kazi na mshahara haumalizi hata mwez na sina majukum kiviiiile, hivi ambao hawana kaz kabisa wanaoshijeeee
Au ni mimi tu na matumiz yangu!!!
Usitake kujuaNajiuliza tu hapa kama nina kazi na mshahara haumalizi hata mwez na sina majukum kiviiiile, hivi ambao hawana kaz kabisa wanaoshijeeee
Au ni mimi tu na matumiz yangu!!!
Msiba mmoja aina ya kulia ndo tunatofautiana tuPole mkuu kila mtu anapambana na hali yake vile ilivyo
Kweli kabisa mpenzi kila mtu anajua mwenyewe vile anavyoishiMsiba mmoja aina ya kulia ndo tunatofautiana tu
We unaliaje??Kweli kabisa mpenzi kila mtu anajua mwenyewe vile anavyoishi
Kilio chako kama changu nalia kimya kimya hata kama sina hamna mtu anayejua napambana na hali yangu tu mwenyewe kwa nini ulie kwa mayowe uwape watu wengine faidaWe unaliaje??
Mi nalia kimyakimya kuna wengine wanapiga mayowe wengina wanazimia wengine macho tu ni mekundu
Acha tu tunaisoma no kisawasawaKilio chako kama changu nalia kimya kimya hata kama sina hamna mtu anayejua napambana na hali yangu tu mwenyewe kwa nini ulie kwa mayowe uwape watu wengine faida
Na tunapambana na vyuma vyetu kukaza tuzoee tu hakuna namnaAcha tu tunaisoma no kisawasawa
Mbuzi wengine wana kamba fupi kuliko bamia. Hata kugeuza shingo haiwezkani...Kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake