MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
- Thread starter
- #21
Jomba kwani ukikusanya hela zako zote kwa mwaka hazifiki 28m?Acha kuwapa watu wasiwasi maisha ni njia tu ,kila mtu anaridhika na hali yake ...Anza na ndugu zako kwanza wanaokunya vichakati huko Arusha .