Mropoka Hovyo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2023
- 446
- 1,253
Wengine kwa mwezi tunalipwa laki 1 na nusu ambayo kwa mwaka ni sawa na 1.8MJomba kwani ukikusanya hela zako zote kwa mwaka hazifiki 28m?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine kwa mwezi tunalipwa laki 1 na nusu ambayo kwa mwaka ni sawa na 1.8MJomba kwani ukikusanya hela zako zote kwa mwaka hazifiki 28m?
Kama mpenzi wako anapenda mahindi ya kuchoma piga chini 😹Ushauri uko wapi?
Hii imenikosha hahahahahaMatajiri mtuache na maisha yetu, kwani tushawagongea milango kutaka msaada.
Hapa nasikiliza kibao cha OTTU JAZZ BAND, wazee wa msondo ngoma, kibao kinaitwa MAPENZI YA RABANA.
kuna kipande mzee gurumo anasema
"wala si ujinga kwa wale mafukara na si ujanja kwa wale matajiri, tuache kudharauliana,"
Kisha waitikiaji wanajibu
" haya yote ni mapenzi yake rabana"
Kisha hapo linaburuzwa gitaa la hatari na saidi mabela..
Kibao safi kabisa hiki.
Hahah. Halafu huduma utanipa wewe?Kama mpenzi wako anapenda mahindi ya kuchoma piga chini 😹
Tafuta anaekula pizzaHahah. Halafu huduma utanipa wewe?
Wewe unakula Nini?Tafuta anaekula pizza
Utashangaa huyu ndio kinara wa kubeba zile vocha za bureKwanza kabisa nakubaliana kuwa maisha hayana kanuni kwenye kuyaishi. Kila mmoja ana njia zake za kujipatia kipato ili mradi ni halali. Pia kila mmoja ana tafsiri yake ya utajiri na umaskini. Kwa upande wangu kama una kipato cha chini ya $10000 (Approximately Tsh 28m) basi wewe ni fukara unayepaswa kupambana haswa.
Nina ushauri ingawa sio lazima wewe kuufanyia kazi. Kwa muda huu unaopambana kujitoa hapo ulipo usijiingize kabisa kwenye jambo lolote linalotafuna pesa bila kurejesha chochote. Jikite kwenye kuongeza vyanzo vya mapato na sio kujibana kutumia hicho kidogo kuwekeza kwenye mambo yasiyotengeneza pesa kama vile kujenga nyumba na kununua gari ya kutembelea. Pia tafuta mpenzi anayependa miwa na mahindi ya kuchoma kuliko Pizza na Shawarma.
Hata kama unataka sana ardhi fanya ujanja wa kwenda vijijini ununue kwa bei ndogo uliendeleza ili baadae likuletee manufaa. Binafsi kipindi nikiwa fukara wa kukosa milioni 28 kwa mwaka nilitumia kiasi kidogo sana cha pesa kisichozidi hata milioni moja kununua ekari kadhaa huko Karatu karibu kabisa na Ngorongoro. Ninavyoandika hapa hayo maeneo kumeanza kujengwa camps na hotel za kitalii. Ina maana thamani ya eneo langu imeshapanda.
Pambana sana. Wewe unatakiwa upambane zaidi kwasababu mshahara wako wote unatosha kwenye wallet bila kikwazo. Hiyo ni dalili mbaya sana.Wengine kwa mwezi tunalipwa laki 1 na nusu ambayo kwa mwaka ni sawa na 1.8M
MiwaWewe unakula Nini?
Akili hunaga weweMiwa
Same here bros 😂😂Dah, nimeangalia kipato changu cha mwezi, nikazidisha mara 12. Ni huzuni kwa kweli.
I need to fucking work hard than every one in this country.
Ukweli mtupu, broKwanza kabisa nakubaliana kuwa maisha hayana kanuni kwenye kuyaishi. Kila mmoja ana njia zake za kujipatia kipato ili mradi ni halali. Pia kila mmoja ana tafsiri yake ya utajiri na umaskini. Kwa upande wangu kama una kipato cha chini ya $10000 (Approximately Tsh 28m) basi wewe ni fukara unayepaswa kupambana haswa.
Nina ushauri ingawa sio lazima wewe kuufanyia kazi. Kwa muda huu unaopambana kujitoa hapo ulipo usijiingize kabisa kwenye jambo lolote linalotafuna pesa bila kurejesha chochote. Jikite kwenye kuongeza vyanzo vya mapato na sio kujibana kutumia hicho kidogo kuwekeza kwenye mambo yasiyotengeneza pesa kama vile kujenga nyumba na kununua gari ya kutembelea. Pia tafuta mpenzi anayependa miwa na mahindi ya kuchoma kuliko Pizza na Shawarma.
Hata kama unataka sana ardhi fanya ujanja wa kwenda vijijini ununue kwa bei ndogo uliendeleza ili baadae likuletee manufaa. Binafsi kipindi nikiwa fukara wa kukosa milioni 28 kwa mwaka nilitumia kiasi kidogo sana cha pesa kisichozidi hata milioni moja kununua ekari kadhaa huko Karatu karibu kabisa na Ngorongoro. Ninavyoandika hapa hayo maeneo kumeanza kujengwa camps na hotel za kitalii. Ina maana thamani ya eneo langu imeshapanda.
Mkuu usije ukauza nyumba yako. Mimi ni mjasiriamali nisiyeogopa hatari ila kwa uzoefu wangu naona kujenga nyumba ni kama suala la kiimani sana... yaani mtu usipokuwa makini unaweza kugonga 50yrs huna hata kibanda cha nyasi. Wewe nakupongeza sana kujenga ukiwa mdogo. USIJILAUMU KWA CHOCHOTE. Ushauri zaidi nimepost kwenye uzi wako.Mkuu umeongea jambo la msingisana , weng wanakupuuza ila nmekuelewa, ni kama ulikua unaongea na mimi
Kuna uzi wang naomba msaada wa ushaur wako boss
Wadau nisaidieni ushauri kimawazo kwenye jambo hili
Hamjambo wana JamiiForums Wakati mwingine unaweza kuwaza sana hadi kichwa kinataka kubasti, kuna kipindi kabla sijawa mtu mzima nilikua napishana na mtu anaongea mwenyewe na kurusha mikono hewani, nilikua najiuliza sana, ila badae sana nikapata majibu. Wadau nina nyumba mbili katika kupiga...www.jamiiforums.com