MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
- Thread starter
-
- #21
Jomba kwani ukikusanya hela zako zote kwa mwaka hazifiki 28m?Acha kuwapa watu wasiwasi maisha ni njia tu ,kila mtu anaridhika na hali yake ...Anza na ndugu zako kwanza wanaokunya vichakati huko Arusha .
Npata ila situmii nguvu kama zako , usifanye watu waishi kwa wasiwasi kwa ground maisha magumu kweli .Jomba kwani ukikusanya hela zako zote kwa mwaka hazifiki 28m?
Matajiri wa JF wao kutunanga tu michongo na ramani hawatoi !Dah kila siku humu matajiri mnatufokea haya ngoja tupambane
Fukara na masikini nani mwenye unafuu?Sijasema ni maskini.. nimesema ni fukara.
😃😃Acha kunililia. Mimi sio babako.
Maskini hapati mahitaji muhimu kikamilifu ila fukara hapati kabisa zaidi ya kuombaombaFukara na masikini nani mwenye unafuu?
Sasa kwa mjubu wa mleta mada watanzania 95% hawana basic necessities, jambo ambao sio kweliMaskini hapati mahitaji muhimu kikamilifu ila fukara hapati kabisa zaidi ya kuombaomba
uvccm mkishiba huwa mnaandika ushuzzy tu.Kwanza kabisa nakubaliana kuwa maisha hayana kanuni kwenye kuyaishi. Kila mmoja ana njia zake za kujipatia kipato ili mradi ni halali. Pia kila mmoja ana tafsiri yake ya utajiri na umaskini. Kwa upande wangu kama una kipato cha chini ya $10000 (Approximately Tsh 28m) basi wewe ni fukara unayepaswa kupambana haswa.
Nina ushauri ingawa sio lazima wewe kuufanyia kazi. Kwa muda huu unaopambana kujitoa hapo ulipo usijiingize kabisa kwenye jambo lolote linalotafuna pesa bila kurejesha chochote. Jikite kwenye kuongeza vyanzo vya mapato na sio kujibana kutumia hicho kidogo kuwekeza kwenye mambo yasiyotengeneza pesa kama vile kujenga nyumba na kununua gari ya kutembelea. Pia tafuta mpenzi anayependa miwa na mahindi ya kuchoma kuliko Pizza na Shawarma.
Hata kama unataka sana ardhi fanya ujanja wa kwenda vijijini ununue kwa bei ndogo uliendeleza ili baadae likuletee manufaa. Binafsi kipindi nikiwa fukara wa kukosa milioni 28 kwa mwaka nilitumia kiasi kidogo sana cha pesa kisichozidi hata milioni moja kununua ekari kadhaa huko Karatu karibu kabisa na Ngorongoro. Ninavyoandika hapa hayo maeneo kumeanza kujengwa camps na hotel za kitalii. Ina maana thamani ya eneo langu imeshapanda.
Tumemuachia MamaSamia.Jomba kwani ukikusanya hela zako zote kwa mwaka hazifiki 28m?
😀😀😀😀Watu wenye kipato cha 2m kila mwezi hapa Tanzania hawafiki 5% ya watanzania wote, kwahiyo unamanisha nchi zima ni masikini......huo utafiti wako sio sahihi kabisa
Sure Tanzania ni miongoni mwa nchi masikini hata hivyoWatu wenye kipato cha 2m kila mwezi hapa Tanzania hawafiki 5% ya watanzania wote, kwahiyo unamanisha nchi zima ni masikini......huo utafiti wako sio sahihi kabisa
Ah huku ukishushia na mvinyo laini kwenye koo unahisi rahaa afu mbele toto mbili tatu zinakatika katikaMatajiri mtuache na maisha yetu, kwani tushawagongea milango kutaka msaada.
Hapa nasikiliza kibao cha OTTU JAZZ BAND, wazee wa msondo ngoma, kibao kinaitwa MAPENZI YA RABANA.
kuna kipande mzee gurumo anasema
"wala si ujinga kwa wale mafukara na si ujanja kwa wale matajiri, tuache kudharauliana,"
Kisha waitikiaji wanajibu
" haya yote ni mapenzi yake rabana"
Kisha hapo linaburuzwa gitaa la hatari na saidi mabela..
Kibao safi kabisa hiki.
Unasahau shida zote za dunia, hukumbuki deni la baba mwenye nyumba, hukumbuki hela yenyewe uliipata kwa ugumu kiasi gani.Ah huku ukishushia na mvinyo laini kwenye koo unahisi rahaa afu mbele toto mbili tatu zinakatika katika
Fukara-PoorMaskini hapati mahitaji muhimu kikamilifu ila fukara hapati kabisa zaidi ya kuombaomba
Fuatilia vizuri tenaFukara-Poor
Maskini-Disabled
Am sure what am talking na pia haya maneno yatoholewa kutoka kwenye lugha ya kiarabu pia yapo kama yalivyoFuatilia vizuri tena
Fuatilia vizuri tena