Kama wewe bado ni fukara wa kipato cha chini ya Tsh 28m kwa mwaka soma hapa

Hii imenikosha hahahahaha
 
Hakika kibao hiki kilitamba sana Mia law ya 80’s maisha ya utajiri ni kazi yake rabana 🙏
 
Utashangaa huyu ndio kinara wa kubeba zile vocha za bure
 
Mkuu umeongea jambo la msingisana , weng wanakupuuza ila nmekuelewa, ni kama ulikua unaongea na mimi
Kuna uzi wang naomba msaada wa ushaur wako boss


 
Ukweli mtupu, bro
 
Mkuu usije ukauza nyumba yako. Mimi ni mjasiriamali nisiyeogopa hatari ila kwa uzoefu wangu naona kujenga nyumba ni kama suala la kiimani sana... yaani mtu usipokuwa makini unaweza kugonga 50yrs huna hata kibanda cha nyasi. Wewe nakupongeza sana kujenga ukiwa mdogo. USIJILAUMU KWA CHOCHOTE. Ushauri zaidi nimepost kwenye uzi wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…