Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Mkuu ebu tuyapange...Waoaji wenyewe ndio hawa
Mwachiluwi mshamba_hachekwi Poor Brain
Kazi kuwachanua mabinti wa wenyewe na kuwapiga mabusu ya vikojoleo na kuwaacha.
Kazi ipo!!!!!!
Mi najali sasa mwenzako..🙌🙌🙌🙏🙏Mimi ni mkubwa kwako
Mwachiluwi nikataa ndoa na mshamba_hachekwi
Por🍑ogr🍑phy director?Mkuu ebu tuyapange...
Kwanza daah mkuu nina ndoto za kuwa director mi nimeachana na hayo mambo ya kuoa kwa sasa
Sawa babu Ila wajukuu wa Leo wamebadilika Sana .Mungu saidia hili andiko lako Wajukuu zangu wa mwaka 2000 wasilione
Vinginevyo wanaweza kujikuta wanafanya maamuzi ya anayetaka wampe which is very bad for the future of their children
Lazima wapate Wanaume sahihi (responsible father's) kwaajili ya watoto wao
Kumbukeni Mke mwema hutoka Kwa Bwana
Ila mnateseka sana na wanawake kwann huo ushauri usiwape wanaume??
Hao kataa ndoa au wale vidampa?Wanaume wapo NJEMA Sana.
Mwanaume ni mwanaume siku ZOTE.Hao kataa ndoa au wale vidampa?
Na mwanamke je?Mwanaume ni mwanaume siku ZOTE.
Haha..Sasa hivi mwendu wa kitafuna vya 2010[emoji1787] Vishangazi vywa 2009 kushuka tunanyanyapaaWatoto wa 2010 washaanza kutusumbua mtaani. Hawa wengine wa 2000s kwa mambo wanayofanya mtaani na ukiangalia miili yao mikubwa ni wamama tayari 2030 watakuwa wanajukuu.
Wanaume hatuzeeki , kadri tunabyokuwa na hela ndio ujana unaongezeka , we age antclokwise[emoji1787]Ila mnateseka sana na wanawake kwann huo ushauri usiwape wanaume??
Una reply ukiwa wapi? 🤣🤣🤣Ila mnateseka sana na wanawake kwann huo ushauri usiwape wanaume??
Kwani hao mabinti kuolewa lazima?Nawakumbusha tu mabinti zangu,huu ni mwaka 2025 mwaka wa uchaguzi,SSH anaingia tena ikulu kwa miaka mitano mpaka 2030.
Huo mwaka 2030 ukifika na hujaolewa nikupe tu pole utakuwa sio binti tena vali mmama wa miaka 30
Mwachiluwi anataka kukuoa sema sasa wewe una mambo mengi.Mwachiluwi nikataa ndoa na mshamba_hachekwi
Ni kweli, japo kadri umri wao unavyosogea ndivyo akili zao zinavyofungukaSawa babu Ila wajukuu wa Leo wamebadilika Sana .