Kama wewe ni fundi, au mkulima na upo site ila una upungufu wa vibarua wapate hapa

Kama wewe ni fundi, au mkulima na upo site ila una upungufu wa vibarua wapate hapa

We jamaa ulisadiwa kupata kazi humu,Leo hii ushasahau hutaki kusaidia watu?
Nimeandika tu uhalisia wa site mkuu.
Mimi siyo injinia wala sina mamlaka yoyote huku saiti.
 
Nimeandika tu uhalisia wa site mkuu.
Mimi siyo injinia wala sina mamlaka yoyote huku saiti.
sasa mbona uliandika kwa nyodo vile, nikadhani we injinia au foremen, kumbe na ww ulitafutiwa kazi humuhumu alafu umeshakuwa hvo, aisee sio poa kabisa, sasa ungenyaliwa kama ulivonyali ungekuwa wapi kwa sasa?
 
sasa mbona uliandika kwa nyodo vile, nikadhani we injinia au foremen, kumbe na ww ulitafutiwa kazi humuhumu alafu umeshakuwa hvo, aisee sio poa kabisa, sasa ungenyaliwa kama ulivonyali ungekuwa wapi kwa sasa?
Nani nimemnyali hapa? mimi nimeandika uhalisia wa site jinsi kulivyo.
hayo mengine ni juu yenu
 
Nani nimemnyali hapa? mimi nimeandika uhalisia wa site jinsi kulivyo.
hayo mengine ni juu yenu
acha ufala wewe, kwani watu walipokutafutia kazi walikuwa wanakujua, wakikuwa wanajua utendaji wako? si ni kama waligamble tu, kwa nn wewe usiamini kuwa ukimpa kijana connection ya kibarua toka humu hatafanyakazi vizuri bila usumbufu, mbona wewe ulifanya, au we malaika? mkuu unataka kujisahau mapema, eti uhalisia,
 
Tunachukua vibarua wanaokuja site kuomba kazi direct, ukisema uokoteze wa mitandaoni mnaweza mkasumbuana baadae kwenye malipo, maana wengi kazi hawawezi ila kwenye malipo analeta vurugu.
ulishachukua wangapi wa kwenye mitandao wakawa hawawezi kazi na kwenye malipo wanaleta vurugu, we mwenyewe ulipata kazi kwa kuokotwa kwenye mitandao, leo unasema wa kuokoteza kwenye mitandao, ama kweli, hii dunia ina mambo.
 
acha ufala wewe, kwani watu walipokutafutia kazi walikuwa wanakujua, wakikuwa wanajua utendaji wako? si ni kama waligamble tu, kwa nn wewe usiamini kuwa ukimpa kijana connection ya kibarua toka humu hatafanyakazi vizuri bila usumbufu, mbona wewe ulifanya, au we malaika? mkuu unataka kujisahau mapema, eti uhalisia,
Umeambiwa mimi natoa vibarua?
Yaani hapa nakujibu tu ili uzi wa jamaa utembee na wenye uwezo wa kutoa msaada huenda watauona waje watoe msaada.
Zaidi ya hapo nisingeendelea kukujibu!.
 
ulishachukua wangapi wa kwenye mitandao wakawa hawawezi kazi na kwenye malipo wanaleta vurugu, we mwenyewe ulipata kazi kwa kuokotwa kwenye mitandao, leo unasema wa kuokoteza kwenye mitandao, ama kweli, hii dunia ina mambo.
Kama nilivyo kuambia, nakujibu ili uzi wa jamaa utembee, wenye uwezo wa kutoa msaada huenda watauona na watatoa msaada.
Mimi nimeshasaidia watu wengi sana, wa mtandaoni na mitaani ambao siwafahamu hata kidogo.
Kwahiyo tuliza kipapa, kwa uwezo wangu nimeasaidia sana.
 
Umeambiwa mimi natoa vibarua?
Yaani hapa nakujibu tu ili uzi wa jamaa utembee na wenye uwezo wa kutoa msaada huenda watauona waje watoe msaada.
Zaidi ya hapo nisingeendelea kukujibu!.
we ndo ujinga umekuzidi kwa kusema wa kuokoteza mitandaoni, wakati we mwenyewe uliokotwa mitandaoni ukapewa kazi, kama hutoi vibarua umeandika kwa nini si ungekaa tu kimya, kwani labda ukatoa contact akajitokeza kijana ukamdirect site kwako akaja akaonana na site foremen akapata kazi ungepungukiwa nn? si ungepata tu baraka, kama ambavo aliyekuokota alipata baraka kwa kukupa kazi, umeshajiona umefika eh?
 
Kama nilivyo kuambia, nakujibu ili uzi wa jamaa utembee, wenye uwezo wa kutoa msaada huenda watauona na watatoa msaada.
Mimi nimeshasaidia watu wengi sana, wa mtandaoni na mitaani ambao siwafahamu hata kidogo.
Kwahiyo tuliza kipapa, kwa uwezo wangu nimeasaidia sana.
hujasaidia mtu yoyote na huna roho ya kusaidia, kama umesaidia wala husingekuja na hyo kauli yako ya kipumbavu ya kuokoteza mtaani, we ndo wala mkishapata kikabarua mnavimba kama kitufu, unatembea umepanua mikono njia nzima, najaribu kuimagine ungekuwa injinia sijui hapo site kungekuweje tu.
 
Nahitaji msichana wa kazi za ndani,eneo la kazi ni Arusha mjini,nyumba ina mfanyakazi mmoja wa kiume kwa kazi za nje kama garden,kutunza mbwa nk,msichana atawajibika kutunza watoto na usafi wa nyumba na vyombo,mimi baba nipo mbali ila mama yupo,karibuni.
Dau lako sh ngapi kwa mwezi mkuu?
 
kuna hekari 500 za kulima kama ww ni mwanaume wa kweli na unaitaji pesa, za kiume karb hekar elfu 70 kula kwa boss location: songea... town mikoan kama dar, mbeya mwanza nauli tunatuma hata kama hatukujui ikitaka naul unatumiwa sasa kula nauli ujue kama usiku ukilala unafanya kazi au unalala,, utapigiswa kaz mpaka useme naul yenu naludisha na hakuna mtu ataekutafuta
Mkuu hii mbona imekaa kikoloni mno?
 
Katika MAISHA jijengee mfumo wa kumshika mtu mkono ,baraka zitakuwa upande wako nimeichukia kauli ya Mtu mmoja hapo juu anaitwa aise the guy is too idiot.
 
Kama mnashida na kazi ngumu njooni kusini. Kwa msimu huu sikilizia kama wiki tatu hivi mbele. Maeneo ni bonde la usangu na Ruvuma uko nenda na nguvu zako tu ukifika mvua ziki kata tua njombe.
 
Katika MAISHA jijengee mfumo wa kumshika mtu mkono ,baraka zitakuwa upande wako nimeichukia kauli ya Mtu mmoja hapo juu anaitwa aise the guy is too idiot.
Sure ukisaidia mtu mmoja unafunguliwa milango 100 ys baraka. Trust me it work for me
 
Owky,wazee wa site mimi ni fundi umeme bhana,fanyeni kweli hali mbaya sana mtaani,mkiona kama sipo serious nipo tayari kufukuzwa asee
Simu:0677772118
 
Back
Top Bottom