Kama wewe ni kijana na una sifa zifuatazo njoo hapa tujipongeze!

Kama wewe ni kijana na una sifa zifuatazo njoo hapa tujipongeze!

TheChoji

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2009
Posts
5,771
Reaction score
17,849
  • hujatokea kwenye familia ya kitajiri (hujarithi mali)
  • huna jina wala umaarufu wowote mjini
  • hujawahi kupigiwa chapuo sehemu yoyote
  • huna kipaji (sio msanii, mchezaji nk)
  • hujawahi kufanya biashara haramu
  • hutumii ndumba
  • humtegemei mtu yoyote (sio marioo)
  • hujawahi kudhulumu mali ya mtu

Lakini;

Pamoja na hayo yote umetusua kimaisha! Unaishi fresh tu, mambo yamekunyookea na unasongesha life bila shida. Jipigepige kifuani halafu comment sema "mimi ni mwanaume!!"
 
Back
Top Bottom