Kama wewe ni kijana na una sifa zifuatazo njoo hapa tujipongeze!

TheChoji

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2009
Posts
5,771
Reaction score
17,849
  • hujatokea kwenye familia ya kitajiri (hujarithi mali)
  • huna jina wala umaarufu wowote mjini
  • hujawahi kupigiwa chapuo sehemu yoyote
  • huna kipaji (sio msanii, mchezaji nk)
  • hujawahi kufanya biashara haramu
  • hutumii ndumba
  • humtegemei mtu yoyote (sio marioo)
  • hujawahi kudhulumu mali ya mtu

Lakini;

Pamoja na hayo yote umetusua kimaisha! Unaishi fresh tu, mambo yamekunyookea na unasongesha life bila shida. Jipigepige kifuani halafu comment sema "mimi ni mwanaume!!"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…