Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Miaka 22Kuna yule mama wa Iringa alifungwa kwa kukutwa na maini ya swala mika 5 nadhani
Kuna yule mama wa Iringa alifungwa kwa kukutwa na maini ya swala mika 5 nadhani
Alaa kumbe alifungwa miaka 22!!???
Hii nchi acha kabisaAlaa kumbe alifungwa miaka 22!!???
Doh salalee!?
Hizo raslimali siyo za taifa, zina wenyeweKama wewe maskini please, please, please usizisogelee hizi rasilimali za taifa .
Wenyewe wakali sanaHizo raslimali siyo za taifa, zina wenyewe
Ingekuwa ni rasilimali za taifa, sidhani kama yule mama wa Njombe angerundikiwa miaka 22 kwa kukutwa na kitoweo tuWenyewe wakali sana
Tena mjane alikutwa na vipande 12 vya nyama ya swala, siyo swala. Alipotaka kumtaja aliyempa akakataliwa! Akala miaka 22 jela.Alaa kumbe alifungwa miaka 22!!???
Doh salalee!?
Inasikitisha sana!?Tena mjane alikutwa na vipande 12 vya nyama ya swala, siyo swala. Alipotaka kumtaja aliyempa akakataliwa! Akala miaka 22 jela.
Halafu tukiwatukana wahusika Mello ànawekwa ndani analazimishwa kututaja.
Masikini ndie rasilimali yenyewe unahusikaj na rasilimali zingine, wa kupigwa mnada tu Wajasiliamali wakipatika Tena bora sokwe na nyani na wanyana wengine sio masikiniHello!
Kama wewe maskini please, please, please usizisogelee hizi rasilimali za taifa .
Ni hatari zaidi ya kutupia kitimoto kwenye kusanyiko la Eid.
Utauliwa na vijana wa TAWA, TANAPA, au TFS na ukinusurika nao utaozea jela.
Ni ushauri tu.
View attachment 2862532View attachment 2862533
View attachment 2862543
View attachment 2862540
That's why I told all poor tanzanians to stay far from the natural resources of their countryMasikini ndie rasilimali yenyewe unahusikaj na rasilimali zingine, wa kupigwa mnada tu Wajasiliamali wakipatika Tena bora sokwe na nyani na wanyana wengine sio masikini
Umepigaje apooThat's why I told all poor tanzanians to stay far from the natural resources of their country
Sana.Inasikitisha sana...