Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Imekua ghafla sana, naomba tupewe muda....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umeshapiga wine hapo, kila ukisoma unaona "double standards"Wanaume mna double standards sanaa yani
Hata ladha siijui, huwa natumia juice tuMkuu umeshapiga wine hapo, kila ukisoma unaona "double standards"
Katka vigezo vyangu wakti natafuta mke wa kuoa kigezo cha juu kuliko vyote ktk orodha ilikuwa MWANAMKE ASIE KUNYWA KABISAA KILEVI CHCHTE nashukuru Mungu alinipatia mke wa aina hiyoInauma na kusikitisha sana pale ninapomuona mwanamke tena mke wa mtu akinywa pombe mbaya zaidi akishinda Bar au night clubs akinywa. Ukiona hivyo my bro jua tu, unachapiwa, sehemu hizo ni mbya sana, nikama unachezea shilling kwenye tundu la choo. Hamna mjanja kwenye pombe, pombe haina mwenyewe.
Luth(Lutu) mwenyewe kwenye biblia alifanyishwa tendo la ndoa na binti zake akiwa amelewa hajitambui, Nuhu yeye hata kujitambua kua yupo uchi alishindwa, hata mtoto wake kumuona uchi wake, wewe nani uwe imara kiimani kuwazidi hao watumishi wa Mungu?!
Tena kama mme na mke wote ni wanywaji basi tambua wote ni wazinzi, mbaya zaidi ukute mwanamke ni mpenda wine sana[emoji1430]
Hakuna mwanamke mwenye msimamo duniani, inategemeana na juhudi, uwezo na hali ya mtongozaji. Binafsi siku nikitaka kuoa nitamuomba Mungu sana anipatie Mwanamke asie mlevi.
Uzi tayari
za ikulunawakumbushaView attachment 1970898
Mume wake ni mtu wa safari sana au?yeah, upo sahihi bro
nimetembelea sehem nyingi kama hizo
walahi watu wanazini sana
nimeshuhudia wake wengi za watu wanaliwa kimasihara kabsa
soon ntaleta uzi wa my friend alie pangiwa apartment na mke wa mtu ili awe anamnyandua tu.
Nimecopy, nita print kwa faida ya leo na kesho.Inauma na kusikitisha sana pale ninapomuona mwanamke tena mke wa mtu akinywa pombe mbaya zaidi akishinda Bar au night clubs akinywa. Ukiona hivyo my bro jua tu, unachapiwa, sehemu hizo ni mbya sana, nikama unachezea shilling kwenye tundu la choo. Hamna mjanja kwenye pombe, pombe haina mwenyewe.
Luth(Lutu) mwenyewe kwenye biblia alifanyishwa tendo la ndoa na binti zake akiwa amelewa hajitambui, Nuhu yeye hata kujitambua kua yupo uchi alishindwa, hata mtoto wake kumuona uchi wake, wewe nani uwe imara kiimani kuwazidi hao watumishi wa Mungu?!
Tena kama mme na mke wote ni wanywaji basi tambua wote ni wazinzi, mbaya zaidi ukute mwanamke ni mpenda wine sana[emoji1430]
Hakuna mwanamke mwenye msimamo duniani, inategemeana na juhudi, uwezo na hali ya mtongozaji. Binafsi siku nikitaka kuoa nitamuomba Mungu sana anipatie Mwanamke asie mlevi.
Uzi tayari
Baada ya kuoa na ukakaa kwenye ndoa walau miaka 5 unaweza kuja na post tofauti na hiiInauma na kusikitisha sana pale ninapomuona mwanamke tena mke wa mtu akinywa pombe mbaya zaidi akishinda Bar au night clubs akinywa. Ukiona hivyo my bro jua tu, unachapiwa, sehemu hizo ni mbya sana, nikama unachezea shilling kwenye tundu la choo. Hamna mjanja kwenye pombe, pombe haina mwenyewe.
Luth(Lutu) mwenyewe kwenye biblia alifanyishwa tendo la ndoa na binti zake akiwa amelewa hajitambui, Nuhu yeye hata kujitambua kua yupo uchi alishindwa, hata mtoto wake kumuona uchi wake, wewe nani uwe imara kiimani kuwazidi hao watumishi wa Mungu?!
Tena kama mme na mke wote ni wanywaji basi tambua wote ni wazinzi, mbaya zaidi ukute mwanamke ni mpenda wine sana[emoji1430]
Hakuna mwanamke mwenye msimamo duniani, inategemeana na juhudi, uwezo na hali ya mtongozaji. Binafsi siku nikitaka kuoa nitamuomba Mungu sana anipatie Mwanamke asie mlevi.
Uzi tayari
Hii hayayake ya mwisho nimekuelewa sana; ndio ukweli wenyewe huoHakuna mwanamke mwenye msimamo duniani, inategemeana na juhudi, uwezo na hali ya mtongozaji
Kwanini??.Wanaume mna double standards sanaa yani
Km mnakunywa nae hakuna taabu hapo!!,Shida ipo Wewe utakapoamua kwenda kunywa peke yako, pombe ikikupanda kichwani na nyege nazo zinakuwa juu, hivyo ni rahisi kuliwa kimasihara.Naanzaje kuacha sasa. Mr mwenyewe ananinunulia na siku nikiacha pombe anaweza kuniacha akatafute anae kunywa.
Mitungiiii blantiiiii mikasiiiii ndo mpango mzima.