Kama wewe ni mke wa mtu, acha pombe

Kama wewe ni mke wa mtu, acha pombe

Kama vp kila mtu afanye Mambo yake kama na kuliwa aliwe tu na kama Kula we Kula msipangiane,

Halafu suala la wanawake kusuuziwa lungu halikuanza leo yangu enzi za wafalme, na masultani wake zao waliliwa tena wala sio kwa kulewa pombe.

Mwanamke hachungwi jo. Fanya yako, shauri yako
 
Kama vp kila mtu afanye Mambo yake kama na kuliwa aliwe tu na kama Kula we Kula msipangiane,

Halafu suala la wanawake kusuuziwa lungu halikuanza leo yangu enzi za wafalme, na masultani wake zao waliliwa tena wala sio kwa kulewa pombe.

Mwanamke hachungwi jo. Fanya yako, shauri yako
sio kila mwanamke ana cheat, njoo huku kwetu mikoani ndo utajionea
 
Kwanza kama unafikiri vizuri lazima uone msingi wa maadili ya mwanamke mlevi kuwa ni questionable.

Kwanza unapaswa kujiuliza kuwa, hali, desturi na muktadha wa mtindo wa maisha ya mwanamke wa kiafrika aliyekulia katika familia yenye kuzingatia angalau kwa kiwango kidogo maadili kwenye malezi hauwezi kum-expose katika uwezekano wa kujifunza kunywa pombe.

ALIANZA LINI? (akiwa mwanafunzi au alipojitegemea). ALIANZAJE?? je alishawishiwa?? alishawishiwa na nani? Katika mazingira gani? kama amelelewa vizur anaweza ku-mess kuingia kwny makundi mabaya?? Au alianza kurubuniwa na mpnz?? je, tamaa zilimfanya aanze kujichanganya kwenye kwny kumbi za starehe na kujikuta akiingia katika jaribu hili?? Alifundishwa nyumbani?

Uki-set hii questionare vizur na ukaichambua utakachokutana nacho aidha ni MSINGI MBOVU WA MAADILI au UJEURI NA KUSHINDIKANA. je, mtu huyu utaweza kumuamini ashiriki katika kujenga na kusimamia mustakabali wa watoto wako? Kama unafkir sawasawa hapa lazima ukanganyike.

Kama mtu kajengewa misingi mizuri ya maadili hata kama akitoka katika usimamizi wa wazazi hawez kutoka katika mstari. Pombe zina athari nyingi kuliko faida kwa mwanamke. Mwanamke mwenye ujasiri wa kwenda kuketi na wanaume bar bila aibu na kulewa hata kama ana mume wake,huyo hafai.

Ukioa mwanamke anakunywa pombe lazima ujilaumu, ni suala la muda tu. Licha ya kugongewa tu wanawake walevi huwa wana kaujeuri fulani na kuwazoea wanaume kwa sababu amezoea kukaa nao bar. Kawaida mwanamke hata kupita njia ambayo wamekaa kundi la wanaume hata 5 ni ngumu kupita kwa kujiamini, sembuse kukaa nao?? Pia kama mama ni mlevi basi tegemea na wanao kulewa.
[emoji848][emoji848][emoji848]

Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
 
Mimi mwanamke mlevi anipite kushoto jamani, mwanamke akishalewa huwa anajizima data kichwani mazima.

Huko kwetu vijijini Kuna mwanamke alikuwa anatembea Usiku mida mibovu akiwa amelewa,ghafla alishtukiwa na wahuni wawili wa kiume wakamrubuni wakambeba kwa pikipiki yao wakampeleka kichakani wakamfanyia collaboration Moja hatari Sana kudadeki!

Unaambiwa mwanamke aliliwa na majamaa toka saa Saba Usiku Hadi saa kumi alfajiri ndo wanamuachia.
Mwenyewe alisema alirudi kwake anachechemea hajiwezi kbsa.
 
Mimi mwanamke mlevi anipite kushoto jamani, mwanamke akishalewa huwa anajizima data kichwani mazima.

Huko kwetu vijijini Kuna mwanamke alikuwa anatembea Usiku mida mibovu akiwa amelewa,ghafla alishtukiwa na wahuni wawili wa kiume wakamrubuni wakambeba kwa pikipiki yao wakampeleka kichakani wakamfanyia collaboration Moja hatari Sana kudadeki!

Unaambiwa mwanamke aliliwa na majamaa toka saa Saba Usiku Hadi saa kumi alfajiri ndo wanamuachia.
Mwenyewe alisema alirudi kwake anachechemea hajiwezi kbsa.
Dah
 
Pombe kwa mwanamke, ulevi kwa mwanamke ni hatari sana.

Nimeshuhudia mara kadhaa mwanamke akipoteza udhibiti wa hisia na kukosa mipaka ya kimaadili baada ya kunywa pombe na kulewa.
Ukipata wanawake wenye uthubutu wa kutoa ushahidi utashangaa sana namna walivyojikuta kwenye nyumba na vitanda vya watu ambao hawakuwahi kuwaza kuwa watakuja kulala nao na kufanya uzinzi.

Niliwahi kwenda tour safari fulani, wazoefu kabla ya safari walikuwa wanasema ''yaani hapa hata usitongoze, tukishawapa bia hawa wanawake kila mtu atachagua anayemtaka''
Ndicho kilichotokea, wake za watu, wadada wa heshima kabisa ambao wakiwa hawajaelewa huwezi kuwashawishi lakini baada ya pombe walikuwa wepesi kuliko kawaida.

Watu wakubali ama wakatae lakini pombe kwa mwanamke ni hatari.
 
Pombe haijawai kua shida Tatizo ni kwa mtu mwenyewe huwezi kupambana na pombe unataka kuzima.

So Kuna wanawake wana kunywa Kwa level zao (alcohol persistence) mfano mtu ana kunywa savannah zake 3 au Smirnoff Black Ace mbili au flying fish mbili inatulia zake..

Mbona harakati za ujana na my love tunapiga magic moment 750ml then ana ni drive home safely maana mm sipendagi kuendesha period!!

Sawa Kuna wanawake wafakamia pombe na Kuna wanywaji wa kiasi mjue kutofautisha..
 
Back
Top Bottom