Kama wewe ni mke wa mtu, acha pombe

Kama vp kila mtu afanye Mambo yake kama na kuliwa aliwe tu na kama Kula we Kula msipangiane,

Halafu suala la wanawake kusuuziwa lungu halikuanza leo yangu enzi za wafalme, na masultani wake zao waliliwa tena wala sio kwa kulewa pombe.

Mwanamke hachungwi jo. Fanya yako, shauri yako
 
sio kila mwanamke ana cheat, njoo huku kwetu mikoani ndo utajionea
 
[emoji848][emoji848][emoji848]

Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
 
Mimi mwanamke mlevi anipite kushoto jamani, mwanamke akishalewa huwa anajizima data kichwani mazima.

Huko kwetu vijijini Kuna mwanamke alikuwa anatembea Usiku mida mibovu akiwa amelewa,ghafla alishtukiwa na wahuni wawili wa kiume wakamrubuni wakambeba kwa pikipiki yao wakampeleka kichakani wakamfanyia collaboration Moja hatari Sana kudadeki!

Unaambiwa mwanamke aliliwa na majamaa toka saa Saba Usiku Hadi saa kumi alfajiri ndo wanamuachia.
Mwenyewe alisema alirudi kwake anachechemea hajiwezi kbsa.
 
Dah
 
Pombe kwa mwanamke, ulevi kwa mwanamke ni hatari sana.

Nimeshuhudia mara kadhaa mwanamke akipoteza udhibiti wa hisia na kukosa mipaka ya kimaadili baada ya kunywa pombe na kulewa.
Ukipata wanawake wenye uthubutu wa kutoa ushahidi utashangaa sana namna walivyojikuta kwenye nyumba na vitanda vya watu ambao hawakuwahi kuwaza kuwa watakuja kulala nao na kufanya uzinzi.

Niliwahi kwenda tour safari fulani, wazoefu kabla ya safari walikuwa wanasema ''yaani hapa hata usitongoze, tukishawapa bia hawa wanawake kila mtu atachagua anayemtaka''
Ndicho kilichotokea, wake za watu, wadada wa heshima kabisa ambao wakiwa hawajaelewa huwezi kuwashawishi lakini baada ya pombe walikuwa wepesi kuliko kawaida.

Watu wakubali ama wakatae lakini pombe kwa mwanamke ni hatari.
 
Pombe haijawai kua shida Tatizo ni kwa mtu mwenyewe huwezi kupambana na pombe unataka kuzima.

So Kuna wanawake wana kunywa Kwa level zao (alcohol persistence) mfano mtu ana kunywa savannah zake 3 au Smirnoff Black Ace mbili au flying fish mbili inatulia zake..

Mbona harakati za ujana na my love tunapiga magic moment 750ml then ana ni drive home safely maana mm sipendagi kuendesha period!!

Sawa Kuna wanawake wafakamia pombe na Kuna wanywaji wa kiasi mjue kutofautisha..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…