Kama wewe ni mke wa mtu, acha pombe

Naunga mkono hoja kwa 100%...
 
Hakuna uongo apo
 
Nishachapa sana wanawake wanakunywa pombe tena free na kilaini sana
 
Nasikia wazungu wakilewa pombe yote inaenda kwenye dudu au k, inamana walevi wote mambo Yako ivyo. Kwamba wakinywa na kulewa , sehemu za Siri zinalewa zaidi
 
Ulijuaje?
 
You got a point. Wanawake wengi wakishatupia monde, beki huwa hazikabi kabisa na huishia vitandani mwa watu pengine bila kuwa wamependa kwa 100%.

Speaking from lots of experience🙂
Vitandani kote huko!!! Huko baa vyooni wanamalizana humo humo. Wakati mwingine na mtu wasiemjua, bila kinga, hawa viumbe. Sasa wale wenye makundi makundi usiseme.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…