Kama wewe ni mkongwe taja majina yao

Kama wewe ni mkongwe taja majina yao

mtwa mkulu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
8,586
Reaction score
11,227
Screenshot_20240209-191557.png
 
Mr Daudi, Mrs Daudi, Musa, Neema and Baraka.
...umesahau jina la mbwa wao. Ukilipatia basi hutashindwa kusema Tola gizani alikuwa anakula chakula gani?
 
Mi ni mkongwe sana ila kitabu sikijui..,,nimeshangaa sana
Kitabu cha somo la kingereza miaka ya 80 na 90, kuanzia darasa la tatu hadi la saba. Tulikuwa tunamsoma Mr Daudi na familia yake. Akina Musa walikuwa wanasoma Mtakuja primary school kama sikosei.
 
Kitabu cha somo la kingereza miaka ya 80 na 90, kuanzia darasa la tatu hadi la saba. Tulikuwa tunamsoma Mr Daudi na familia yake. Akina Musa walikuwa wanasoma Mtakuja primary school kama sikosei.
Hapo nimechemka aisee
 
Back
Top Bottom