mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Case closed!Mr Daudi, Mrs Daudi, Musa, Neema and Baraka.
Uzi ufutwe🤣Case closed!
Mkongwe, muhenga, mwalimu wa waalimu uko vizuriMr Daudi, Mrs Daudi, Musa, Neema and Baraka.
Kitambo hicho 😂😂Mkongwe, muhenga, mwalimu wa waalimu uko vizuri
Mr Daudi, Mrs Daudi, Musa, Neema and Baraka.
...umesahau jina la mbwa wao. Ukilipatia basi hutashindwa kusema Tola gizani alikuwa anakula chakula gani?Mr Daudi, Mrs Daudi, Musa, Neema and Baraka.
Enzi za MwalimuKitambo hicho 😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣Mkwe kweli muhenga...
Kabisa. Daftari likiisha, ninakwenda kwa mwalimu, ninapewa jipya.Enzi za Mwalimu
Daah!Mr Daudi, Mrs Daudi, Musa, Neema and Baraka.
Hukuwa mtoro shuleniMr Daudi, Mrs Daudi, Musa, Neema and Baraka.
😂😂😂😂Daah!
🤓Enzi za Mwalimu
😂😂😂 Mtoto wa mwalimu unakuwaje mtoro!!Hukuwa mtoro shuleni
Mi ni mkongwe sana ila kitabu sikijui..,,nimeshangaa sana😂😂😂😂
Vipi madam?
Ila uchelewaji ndo taaluma yenu hasa mlio kuwa mnaishi mashuleni pamoja na wizi wa vitabu😂😂😂 Mtoto wa mwalimu unakuwaje mtoro!!
Kitabu cha somo la kingereza miaka ya 80 na 90, kuanzia darasa la tatu hadi la saba. Tulikuwa tunamsoma Mr Daudi na familia yake. Akina Musa walikuwa wanasoma Mtakuja primary school kama sikosei.Mi ni mkongwe sana ila kitabu sikijui..,,nimeshangaa sana
Hapo nimechemka aiseeKitabu cha somo la kingereza miaka ya 80 na 90, kuanzia darasa la tatu hadi la saba. Tulikuwa tunamsoma Mr Daudi na familia yake. Akina Musa walikuwa wanasoma Mtakuja primary school kama sikosei.