Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Weeeh sio kwa mama yangu!!! Huchelewi kwenda shule wala kutoka shule. Na hatukuwahi kuishi nyumba za shule.Ila uchelewaji ndo taaluma yenu hasa mlio kuwa mnaishi mashuleni pamoja na wizi wa vitabu