Tetesi: Kama wewe ni mtendaji kata na ni mfuasi wa CHADEMA hutopewa kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa

Tetesi: Kama wewe ni mtendaji kata na ni mfuasi wa CHADEMA hutopewa kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa

kibori nangai

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
1,430
Reaction score
2,130
Ndugu wanajamvi!

Pokeeni salamu zangu

Juzi nilikuwa mkoa wa.mwanza tena center kwenye kijiwe flani.

Nikawa namsikia mtendaji mmoja anaongea na mtendaji mwenzake

Kwamba wamepewa barua za usimamizi wa uchaguzi wa Serikali za mtaa.

Mwenzake akasema yeye hajateuliwa kisimamia uchaguazi

Akamuambia Mh Diwani wa kata hiyo amezuia barua yake eti kwa sababu ni CHADEMA kwa kisingizio kwamba atamletea matatizo kwenye kata yake na barua yake ilitoka kwa mujibu wa sheria kutoka kwa Mkurugenzi.

Hivyo CDM na vyama vingine vya upinzani Mlifatilie hili maana mambo yanapikwa vibaya sana .

Futilieni hili.

Thanks
 
Ndugu wanajamvi!

Pokeeni salamu zangu

Juzi nilikuwa mkoa wa.mwanza tena center kwenye kijiwe flani .
Nikawa namsikia mtendaji mmoja anaongea na mtendaji mwenzake
Kwamba wamepewa barua za usimamizi wa uchaguzi wa Serikali za mtaa.
Mwenzake akasema yeye hajateuliwa kisimamia uchaguazi
Akamuambia Mh Diwani wa kata hiyo amezuia barua yake eti kwa sababu ni CHADEMA kwa kisingizio kwamba atamletea matatizo kwenye kata yake na barua yake ilitoka kwa mujibu wa sheria kutoka kwa Mkurugenzi.

Hivyo CDM na vyama vingine vya upinzani Mlifatilie hili maana mambo yanapikwa vibaya sana .

Futilieni hili.

Thanks
Ujinga mtupu,wangeacha chama Kimoja tujue
 
Ha ha kwanini tunadanganyana?

Anayejua ni Nchi gani ambayo haina wafuasi kutoka chama kingine cha siasa, katika mchakato wa uchaguzi huko, aweke hapa.
 
Back
Top Bottom