min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 23,322 Reaction score 64,738 Feb 4, 2025 #61 Zemanda said: Kwasababu unaogopa kufanya kitu nje ya kilimo na ufugaji unahisi utachoma mtaji na huko kwenye kilimo na ufugaji unahisi hautachoma mtaji. Click to expand... Hahah sio kweli nimefanya vingi tu nnje na kilimo na ufugaji ila navutiwa zaidi na kilimo na ufugaji japo sijawahi fanya kibiashara zaidi ya chakula tu mkuu.
Zemanda said: Kwasababu unaogopa kufanya kitu nje ya kilimo na ufugaji unahisi utachoma mtaji na huko kwenye kilimo na ufugaji unahisi hautachoma mtaji. Click to expand... Hahah sio kweli nimefanya vingi tu nnje na kilimo na ufugaji ila navutiwa zaidi na kilimo na ufugaji japo sijawahi fanya kibiashara zaidi ya chakula tu mkuu.
S Soulja boy JF-Expert Member Joined Oct 3, 2015 Posts 4,052 Reaction score 7,375 Feb 4, 2025 #62 mzabzab said: Hii utt mie nataka kuijua kwa ndani zaidi. Nikiweka mil 35 naweza pata laki 5 kwa mwezi? Click to expand... Ukiweka hiyo mfuko wa bond kwa mwez wanakupa 1%(350k).
mzabzab said: Hii utt mie nataka kuijua kwa ndani zaidi. Nikiweka mil 35 naweza pata laki 5 kwa mwezi? Click to expand... Ukiweka hiyo mfuko wa bond kwa mwez wanakupa 1%(350k).