Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Wengi mnaona biashara ni kama mgodi.
Ni heli ukope ujenge kibanda chako uhamie na familia yako, lakini sio ukope uende kuanzisha biashara kama beginner.
Labda kama wewe ni mpigaji, unapata pesa za kutosha nje ya system ila wale wenzetu upo chini ya salary na malupu lupu, baba na mama wanauza pemba kijijini, unakaa na mdogo wako alie form 3, etc inabidi ufiikirie kwa kina
Chukua hio pesa kukiwa na uhakika wa kupata mzigo huo, wenye mteja aliepo tayari na faida ambayo umeshaihesabu kuwepo ukisha uza mzigo huo.
Usichukue pesa na kuenda kufungua duka ili ufurahishe nafsi yako au kwa hofu ya kuwa hautapiga hatua ya kimaisha kubwa kama hauta ongeza vyanzo vya mapato.
Ni heli ukope ujenge kibanda chako uhamie na familia yako, lakini sio ukope uende kuanzisha biashara kama beginner.
Labda kama wewe ni mpigaji, unapata pesa za kutosha nje ya system ila wale wenzetu upo chini ya salary na malupu lupu, baba na mama wanauza pemba kijijini, unakaa na mdogo wako alie form 3, etc inabidi ufiikirie kwa kina
Chukua hio pesa kukiwa na uhakika wa kupata mzigo huo, wenye mteja aliepo tayari na faida ambayo umeshaihesabu kuwepo ukisha uza mzigo huo.
Usichukue pesa na kuenda kufungua duka ili ufurahishe nafsi yako au kwa hofu ya kuwa hautapiga hatua ya kimaisha kubwa kama hauta ongeza vyanzo vya mapato.