bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,646
Mhhh we mama ukiwaza kifo utajikuta asubuhi inakukuta hujafumba macho yaani utakesha maana utaanza kupiga hesabu kibao,utaanza kujaribu kubana pumzi ili kuona namna utakavyokuwa unakufa,Masogange mwache atangulie tu na sie tutamfuata kesho.R.I.P Masogange.Nawaza kifo tu baada ya habari ya masogange r.I.p
Jeiefu endelea kujifunza dunia kubwa hii,kuwa na moyo mgumu na uvumilivu,usione hivi nishapita milima na mabonde hakuna cha kunitikisa kamwe,Wewe ni mwanamke jasiri shupavu imara na mwenye kujiamini nilikuwa nakuchukulia poa lkn umenifunza kitu big up kwako
Msalimie G wako
Love you baby girlJeiefu endelea kujifunza dunia kubwa hii,kuwa na moyo mgumu na uvumilivu,usione hivi nishapita milima na mabonde hakuna cha kunitikisa kamwe,
Almashukra salamu zimefika habbityy
SHAMMA sijala mwenzio ila soon soonHujala muhogo leo eti!
Teh teh.. Unaweza kuandika 1 hadi 10 kwa kiuno wewe??Haweziii Kaboom nimemshikaa haswaa mauno niliyompa sijawah mpa mwanaume yeyote hii dunia
Pole sanaaaNawaza kifo tu baada ya habari ya masogange r.I.p
Jamani love u more sweetgirlLove you baby girl
Ngoja nikupigie mimii leoMimi kulala mpaka nipigiwe na simu na habityy ndio nilale
Kaboom nakuitaa naomba utandike ulale [emoji23]Teh teh.. Unaweza kuandika 1 hadi 10 kwa kiuno wewe??
Good night nimeingia kwa ajili yako tuJamani love u more sweetgirl
Haa jamani asantee sana,uwe na usiku mwororoGood night nimeingia kwa ajili yako tu
Kaboo, atasema kapita kwa mchepukooNamsubiri mume wangu arudi kutoka mizungukoni [emoji173]️
I trust him with my life... He is covered by the blood of JesusKaboo, atasema kapita kwa mchepukoo