red apple
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 778
- 1,212
haki me nawaza kifo tuu, mpaka nimeenda kwenye thread ya mshana inayohusu mauti, mbali na kuwa shocked na kifo cha Aggy, mwaka huu mwezi wa pili tumepata msiba mkubwa wa ndugu yetu, tena alikuwa member mzuri jf! bado siamini...kuna saa huwa nataka huwa naona kama ananipigia simu.