Msimamo unilinde,siwezi kudate na mwanaume anayeishi Dar,yaani sijui kwa nini ila kwa kifupi ukinifuata pm ukishanambia upo Dar huwa sireply.moyo hupendi wanaume wanaokaa Dar
Kama unakaa Dar,usisumbuke kunipm,hutajibiwa,au hutatimiza lengo lako
Asante
=hatimaye.
Nazani hapa umri utaniponza tena huko PM.Hebu nipe mbinu ili nimuwin mremboWanawake tukiwa na vigezo vichache hivi hakika uhaba wa ndoa utapungua hadi kuisha
Wanaume wa mikoani kazi kwenu huko PM
Labda wew uje na agenda nyingine
Wanawake tukiwa na vigezo vichache hivi hakika uhaba wa ndoa utapungua hadi kuisha
Wanaume wa mikoani kazi kwenu huko PM
Daaah. something amazing here Jf. Ila wanaume wa jf kuna sehemu tunafeli sana, men love masked face ladies in Jf.Kwan hiyo k.u.m.a yako INA hyperglycemia kulko za wadada wengine au.....
Yaan hakuna wanaume wananikera kama wanaolilia k za jf wakat mtaani k ziko njenje mpk tunazikimbia....
Wanaume wa huku mnaferi wapi,kung"ang'ana pm ya MTU usiyemjua hata sura??? Puuuuuuuu
Dar hawana kitu,soft mnoooo.Walishindwa hata kumsaidia mtoto wa chuo akauawa.Wao kuvaa milege tu!!
Mkuu vip,upo Dar?Umeanza majungu
Bora hata Facebook kulko huku....Daaah. something amazing here Jf. Ila wanaume wa jf kuna sehemu tunafeli sana, men love masked face ladies in Jf.
Kwa hiyo huko pm mnapo kutana Hakuna story nyingine ambazo huwa mnapiga zaidi ya mitongozo tu! !?
Wanaume nao tunahuruma, hadi huyu nae!
Hongera kwa kufuatwa PM!
Kwan hiyo k.u.m.a yako INA hyperglycemia kulko za wadada wengine au.....
Yaan hakuna wanaume wananikera kama wanaolilia k za jf wakat mtaani k ziko njenje mpk tunazikimbia....
Wanaume wa huku mnaferi wapi,kung"ang'ana pm ya MTU usiyemjua hata sura??? Puuuuuuuu
Sie wa Namtumbo je?Msimamo unilinde,siwezi kudate na mwanaume anayeishi Dar,yaani sijui kwa nini ila kwa kifupi ukinifuata pm ukishanambia upo Dar huwa sireply.moyo hupendi wanaume wanaokaa Dar
Kama unakaa Dar,usisumbuke kunipm,hutajibiwa,au hutatimiza lengo lako
Asante
Sema nipo tanzania ...maana dar ndio tz yenyeweMkuu vip,upo Dar?
Hah kwl ww wa dar.Halafu watu wa hivi(malimbukeni) wa mzizima ni wengi sn.Ndo huwa mambo yenu haya et "Dar ndo Tz"Sasa ukifika Nairobi au Harare si utachanganyikiwa!!! hako ka mji ni Sawa na kijijiSema nipo tanzania ...maana dar ndio tz yenyewe