Kama wewe ni mwanaume wa Dar,usisumbuke pm,

Yaani ule mpango wetu ndio unausaliti kwa design hii.

Halafu mimi sio wa dar ni mfugaji wa Mang'ombe hapa kahama
 
Wanawake tukiwa na vigezo vichache hivi hakika uhaba wa ndoa utapungua hadi kuisha

Wanaume wa mikoani kazi kwenu huko PM
Nazani hapa umri utaniponza tena huko PM.Hebu nipe mbinu ili nimuwin mrembo
 
Huko kulindwa ila sasa ndio inakuwaje? Kama wanavyofanya suma JKT
Wanawake tukiwa na vigezo vichache hivi hakika uhaba wa ndoa utapungua hadi kuisha

Wanaume wa mikoani kazi kwenu huko PM
 
Daaah. something amazing here Jf. Ila wanaume wa jf kuna sehemu tunafeli sana, men love masked face ladies in Jf.
 
Je, mimi wa kisense,lupa tingatinga chunya naweza kuja pm yako?
 
Sa wanakukera nn wakat ndo chaguo lao
 
Sie wa Namtumbo je?
 
Sema nipo tanzania ...maana dar ndio tz yenyewe
Hah kwl ww wa dar.Halafu watu wa hivi(malimbukeni) wa mzizima ni wengi sn.Ndo huwa mambo yenu haya et "Dar ndo Tz"Sasa ukifika Nairobi au Harare si utachanganyikiwa!!! hako ka mji ni Sawa na kijiji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…