zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Ndio wanachofanya matajiriKama anatunziwa siri na wengine hiyo siyo siri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio wanachofanya matajiriKama anatunziwa siri na wengine hiyo siyo siri
Uko sahihi kabisa na nakubaliana na wewe.Ninakubaliana kwa kiasi kwamba juhudi na mipango ni msingi wa mafanikio yoyote, lakini haimaanishi bahati haina nafasi kabisa.
Bahati inaweza kuwa ni mchanganyiko wa fursa ambazo hazikuundwa moja kwa moja na mtu binafsi lakini zilitokea kwa sababu ya mazingira, wakati, au hali zilizokuwepo.
Mfano wa Bill Gates, pamoja na juhudi zake binafsi, alinufaika na mazingira fulani, kama upatikanaji wa kompyuta katika umri mdogo (ambalo lilikuwa jambo nadra wakati huo), malezi katika familia yenye uwezo wa kumsaidia kufanikisha ndoto zake, na nafasi ya kuwa katika mji wenye sekta ya teknolojia inayokua haraka.
Hii inaonyesha kwamba juhudi peke yake si sababu pekee ya mafanikio—mchanganyiko wa juhudi na mazingira (tunachokiita bahati) mara nyingi huwa na nafasi.
Kwa hiyo, ingawa ni kweli kwamba mali haziji kwa bahati mbaya, nafasi fulani ambazo mtu hakuunda mwenyewe zinaweza kuchangia safari ya mafanikio.
unaona kwamba mazingira yanaweza kuwa na mchango wa kimkakati kwa mtu yeyote.
Mimi sijawahi kumuona genius ambaye hajafanikiwa kimaisha.
Maana yake pia kuwa Prof inawezekana pia ukawa huna akili! But akili ni nini? Ni sawa na maarifa?Kubadikisha akili kuwa mali ni kazi kubwa mno chief - na ndiyo maana unashangaa kukuta Prof ni chawa.
Tumia akili wewe hamna Siri ya watu wawili dunianiNa hakuna Siri kwa tajiri yaan tajiri hana Siri, pigia mstari msipumbazwe na maneno ya kuokoteza matajiri hawana siri wana Wasiri na hao wasiri ndio wanaowatunzia Siri, tajiri hana Siri bali anao watu wanaomtunzia Siri
Na wewe umeamini hayo? Bahati ni imani tu.
Wenye akili hawajali pesa bali pesa huwajali waoHii inamaanisha kuwa mafanikio hayategemei tu akili au maarifa, bali pia ni matokeo ya jinsi tunavyoweza kuchangia au kuhusika katika mazingira yanayotoa fursa.
Hivyo, iko wazi kuwa mafanikio ya kifedha mara nyingi ni matokeo ya mchanganyiko wa talanta, juhudi, lakini pia ni matokeo ya fursa, wakati, na hata mazingira ya kijamii.
Kama unajiuliza kwanini haujafanikiwa kuwa tajiri licha ya kuwa na akili, inaweza kuwa kwamba hujapata nafasi nzuri au umekosa sehemu muhimu ya bahati inayohitajika kufanikiwa.
Je, unakubaliana kuwa bahati na mazingira vina nafasi kubwa kwenye mafanikio?
Nchi hii inalishwa kwa kilimo cha mvua.Unaweza kuniambia wapi kuna hekta za mahindi walau 500 zinamwagiliwa ?Ni ujinga huwezi Lima kwa kutegemea mvua.
Na endapo utapata Basi itakuwa kwa bahati.
Kalime basi kwa kufuata hizo forecast Unakuwaje unatabiri wakati hali ya hewa yenyewe inabafirika .Labda nikwambie tu kuna mikoa ina mvua miaka yote na mingine hali ya mvua inatabirika.Tukio la kwanza halina maana kwamba mahindi umelima na ukafanikiwa kuuza pekeyako soko nzima, japo wengi wamekosa lakini lipo kundi lililopata. Je hao wote waliopata wana bahati inayo fanana?
Hayo ni matokeo ya hali ya hewa tu.
Misimu ya mvua pia haiji kwa bahati mbaya, wapo wanaoweza kufanya climate forecasting na wakajua kama mvua kubwa zinafata hivyo wakapunguza kipimo cha uzalishaji
HAPO HAKUNA BAHATI, NI MATOKEO YA MABADILIKO YA HALI YA HEWA NA ASILI KWA UJUMLA.
Tanganyika, tunaeleweshana ndugu. Ni Mimi kwa upande wangu ambaye siwezi fanya kilimo kwa kutegemea mvua huwa sipendi coz inakuwa Ni Kama bahati kupata mazao niliyoyakusudia lkn pia hata kwa watu wengine wangeweza niwazavyo nadhani wangefaidika na kupunguza vilio vya ukame.Nchi hii inalishwa kwa kilimo cha mvua.Unaweza kuniambia wapi kuna hekta za mahindi walau 500 zinamwagiliwa ?
Hivi huko Arusha, Shinyanga, Dom nk kuna mito na maziwa ya kumwagilia mashamba ? Nahisi umri wako ni wale 2anwopevuka au kubalehe. Kama una age walau 35+ huwezi toa comment ya hivyo. Siwezi endelea jadiliana na mtu asie na experience ya maisha halisi bali ya kijifurahisha.
Umwagiliaji ni hadithi inayosimuliwa TZ, haina uhalisia wowote.
Sawa .We fikiria kiangazi watu tunakula mchicha, nyanya, vitunguu makabeji nk. Kwa umwagiliaji tu. Hata mahindi pia
Bahati sikatai ipo. Lakini wanapotupiga gep matajiri Ni pale tunapodharau Yale ya msingi yanayotuvuta kwenye umasikini.Sawa .
Ila Maheka ya Mahindi na mounga yanategemea mvua au mixer. ndio maana tukaweka neno bahati ktk uasili sio ktk utaalamu. Kuna ndugu yangu alimwgiilia shamba lake mwaka juzi mazao yalipokomaa masai wakalisha usiku. Sasa hapo utasemaje ? Ukizingatia jamaa ndio alikuwa anajitafuta hata hhawzi kuweka walinzi masaa yote.
Tujadili ktk hali halisi ya mtanzania na mwafrika. Tunakumbana na changamoto nyu gi sana hata kama una akoli kama mchwa bado bahati ina bafasi yake.
Unakumbika stoti ta Sumri ba mshindi yake yalioyoda soko ?
mafanikio ya kifedha hayatafutwi yanakuaga kama bonus kwa unachofanyaHii inamaanisha kuwa mafanikio hayategemei tu akili au maarifa, bali pia ni matokeo ya jinsi tunavyoweza kuchangia au kuhusika katika mazingira yanayotoa fursa.
Hivyo, iko wazi kuwa mafanikio ya kifedha mara nyingi ni matokeo ya mchanganyiko wa talanta, juhudi, lakini pia ni matokeo ya fursa, wakati, na hata mazingira ya kijamii.
Kama unajiuliza kwanini haujafanikiwa kuwa tajiri licha ya kuwa na akili, inaweza kuwa kwamba hujapata nafasi nzuri au umekosa sehemu muhimu ya bahati inayohitajika kufanikiwa.
Je, unakubaliana kuwa bahati na mazingira vina nafasi kubwa kwenye mafanikio?
Huwezi kufanikiwa rohoni, alafu mwilini uwe kapuku, acheni kutafsiri mambo ndivyo sivyo, hii dhana ya kuaminisha watu kuwa utajiri unaanzia rohoni, ililetwa na wakoloni ili kuwaaminisha waafrika kuwa umasikini ni mzuri na walidhike na hali zao uku wakifarijiwa na mafundisho ya dini yanayotafsiriwa isivyotakiwa.Yes.
Mtu aliyefanikiwa rohoni huyo ndiye kafanikiwa.
Chukulia mazingira ambayo wote mnategemea mvua lakini mmoja anatajrika meingine hatajiriki. Halafu kaa ujue sio kila mahala hapa Tanzania hakuna mvua. Njombe, Mbeya, Songea nk hakunaga ukame. Naona unawaza sana mwelekeo wa kumwagiliia.Bado hujapambana na changamoto ya kilimo Cha kutegemea mvua na Wala haikufanyi kuwaza!
Ingekuwa yangu nchi hii ningeweka system ya mabomba ya maji nchi nzima then nikafuta bili ya maji ili kila anayepigwa na maisha kimbilio liwe kilimo. Alafu tuone Ni mpuuzi gani analia njaa.Chukulia mazingira ambayo wote mnategemea mvua lakini mmoja anatajrika meingine hatajiriki. Halafu kaa ujue sio kila mahala hapa Tanzania hakuna mvua. Njombe, Mbeya, Songea nk hakunaga ukame. Naona unawaza sana mwelekeo wa kumwagiliia.
Kilimo cha kumwagilia asilimia kubwa ni bustani au mazao ya kudumu kama miwa, chai.
Hao matajiri wengi wa kilimo unao waona hawajatajirika na kilimo chakumwagilia. Kule unangu umwagiiliaji ni ziada ila wanategemea mvua.
Bro usijikite sana kwenye kilimo makaratasi, kilmo kinachoendesha nchi hii ni kilimo mvua.
Vilevile watu wengi breaking point ya poverty wanaanza na kilimo cha asili na wanategemea mvua ambayo ni bahati. Mtu nwenye mipango ya umwagiliaji ashavuka kutegemea bahati, ashatoboa usimjadili sana. Muangalie yule mtu anatafuta pa kutokea nadhani ndio lengo la uzi.
In society we have normal and smart peopleHii inamaanisha kuwa mafanikio hayategemei tu akili au maarifa, bali pia ni matokeo ya jinsi tunavyoweza kuchangia au kuhusika katika mazingira yanayotoa fursa.
Hivyo, iko wazi kuwa mafanikio ya kifedha mara nyingi ni matokeo ya mchanganyiko wa talanta, juhudi, lakini pia ni matokeo ya fursa, wakati, na hata mazingira ya kijamii.
Kama unajiuliza kwanini haujafanikiwa kuwa tajiri licha ya kuwa na akili, inaweza kuwa kwamba hujapata nafasi nzuri au umekosa sehemu muhimu ya bahati inayohitajika kufanikiwa.
Je, unakubaliana kuwa bahati na mazingira vina nafasi kubwa kwenye mafanikio?