Kama wewe upo kwenye makundi haya halafu unakidharau na kukikashifu CCM tarajia laana kukuandama katika maisha yako

Kama wewe upo kwenye makundi haya halafu unakidharau na kukikashifu CCM tarajia laana kukuandama katika maisha yako

Wewe tu umeamua kukataa ina maana hata hii amani uliyonayo mpaka muda huu umekaa zako Huna wasiwasi una soma nyuzi jamii forum huoni kuwa ccm inakujali?
Hii amani wanaigawa ccm?
 
Watanzania wamekiamini chama cha mapinduzi na chama cha mapinduzi kimeamua kuwatumikia kwa uwaminifu mkubwa,kukidharau na kukitukana ni kujitafutia laana
Chama kilichoaminiwa kinaingia na kura zilizokwisha pigwa tayaari? Tena kinategemea TISS na polisi ili kiweze kutangazwq mshindi??? Hahaha Africa wajinga hawaishi
 
1. Kundi la watu wote ambao hawakuweza kumudu gharama za masomo ya elimu juu,serikali ya chama cha mapinduzi ikachukua jukumu la kuwasomesha tena kwa kutumia gharama kubwa,leo mnatumia usomi wenu kukitukana chama cha mapinduzi, nawaambia laana ipo malangoni mwenu,tubuni Mungu hapendi watu wasiokuwa na shukrani.

2. Kundi la watu wote ambao wamekuta babu zao,wazazi wao wakiwa na itikadi ya chama cha mapinduzi wakalelewa katika maadili mema ya chama cha mapinduzi ,walivyokuwa wakakengeuka na kuanza kuleta itikadi ngeni kwenye ukoo,kundi hili nalionea huruma sana,hakuna laana mbaya kama laana ya kutowatii wazazi,hamjachelewa tubuni.

3. Kundi la wazazi ambao watoto wao wanasoma bure katika shule za serikali hawalipii chochote zaidi ya madaftari ,viatu,na hela ya mtoto ya kula miogo na bado wanapata kiburi cha kukitukana chama cha mapinduzi,nawaambia hawa watoto ni malaika na chama cha mapinduzi kimeamua kuwekeza kwa malaika,uwekezaji huu kwa malaika hautawaacha salama wazazi hawa wasiokuwa na shukrani,tubuni.

4.Kundi la wajasiriamali waliokopeshwa mikopo isiyo na riba na serikali ya chama cha mapinduzi halafu kila kukicha wanashinda mitandaoni kukitukana na chama cha mapinduzi hakika Mungu ataiona sadaka ya chama cha mapinduzi na hatonyamaza,muda bado mnao tubuni kabla laana ijawapata.

5. Kundi la watu ambao mnashinda mitandaoni,kumtukana na kumkashifu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ambae pia ni kiongozi wenu tena mnamtukana kwa mambo ambayo hamna huakika wa uthibitisho,nyie pia hamjachelewa tubuni,kumtukana kiongozi aliyewekwa na Mungu ni kumdharau Mungu.
KATAA LAANA
Waliomzaa mtoa mada WALAANIWE.
 
Chama kilichoaminiwa kinaingia na kura zilizokwisha pigwa tayaari? Tena kinategemea TISS na polisi ili kiweze kutangazwq mshindi??? Hahaha Africa wajinga hawaishi
Asiyekubali kushindwa si mshindani uchaguzi umekwisha tuchape kazi
 
Asiyekubali kushindwa si mshindani uchaguzi umekwisha tuchape kazi
Uchaguzi upi sasa? Huu wa watu kuingia na kura zilizokwisha kupogwa na kuzisokomeza kwenye masanduku ya kura au upi?
Uchaguzi wa kuwekeana pingamizi za kuhisi badala ya kisheria?
Uchaguzi upi? Wewe unachapa kazi gani hapo ulipo?
 
Uchaguzi upi sasa? Huu wa watu kuingia na kura zilizokwisha kupogwa na kuzisokomeza kwenye masanduku ya kura au upi?
Uchaguzi wa kuwekeana pingamizi za kuhisi badala ya kisheria?
Uchaguzi upi? Wewe unachapa kazi gani hapo ulipo?
Acha hasira ndugu yangu ccm inakupenda na inakuthamini siku nyingine usichague vyama visivyokubalika na wananchi chagua ccm ili usiwe na makasiriko
 
Mawazo yako tu mkuu,hamjazoea kuambiwa ukweli
Kwahiyo ukikataa CCM unatafuta laana?

Hii naifananisha na ile hadithi ya jimbi mwenda tambo, inaishia Lile jogoo linakimbiza mbwa wa kizungu 😆😆😆
 
Kwahiyo ukikataa CCM unatafuta laana?

Hii naifananisha na ile hadithi ya jimbi mwenda tambo, inaishia Lile jogoo linakimbiza mbwa wa kizungu 😆😆😆
Nimetaja scenarios ndugu yangu soma uzi upya uelewe
 
1. Kundi la watu wote ambao hawakuweza kumudu gharama za masomo ya elimu juu,serikali ya chama cha mapinduzi ikachukua jukumu la kuwasomesha tena kwa kutumia gharama kubwa,leo mnatumia usomi wenu kukitukana chama cha mapinduzi, nawaambia laana ipo malangoni mwenu,tubuni Mungu hapendi watu wasiokuwa na shukrani.

2. Kundi la watu wote ambao wamekuta babu zao,wazazi wao wakiwa na itikadi ya chama cha mapinduzi wakalelewa katika maadili mema ya chama cha mapinduzi ,walivyokuwa wakakengeuka na kuanza kuleta itikadi ngeni kwenye ukoo,kundi hili nalionea huruma sana,hakuna laana mbaya kama laana ya kutowatii wazazi,hamjachelewa tubuni.

3. Kundi la wazazi ambao watoto wao wanasoma bure katika shule za serikali hawalipii chochote zaidi ya madaftari ,viatu,na hela ya mtoto ya kula miogo na bado wanapata kiburi cha kukitukana chama cha mapinduzi,nawaambia hawa watoto ni malaika na chama cha mapinduzi kimeamua kuwekeza kwa malaika,uwekezaji huu kwa malaika hautawaacha salama wazazi hawa wasiokuwa na shukrani,tubuni.

4.Kundi la wajasiriamali waliokopeshwa mikopo isiyo na riba na serikali ya chama cha mapinduzi halafu kila kukicha wanashinda mitandaoni kukitukana na chama cha mapinduzi hakika Mungu ataiona sadaka ya chama cha mapinduzi na hatonyamaza,muda bado mnao tubuni kabla laana ijawapata.

5. Kundi la watu ambao mnashinda mitandaoni,kumtukana na kumkashifu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ambae pia ni kiongozi wenu tena mnamtukana kwa mambo ambayo hamna huakika wa uthibitisho,nyie pia hamjachelewa tubuni,kumtukana kiongozi aliyewekwa na Mungu ni kumdharau Mungu.
KATAA LAANA
 
Asante kwa maoni yako mkuu,ccm inakupenda sana
Inipende mimi vipi wakati haiwapendi Maasai wa Ngorongoro?
Inawapenda iliwauzia bandari na maeneo ya wanyama pori ACHA KUNIPAKA MAFUTA KWA MGONGO WA CHUPA.
Sina ULEMAVU WA KUFIKIRIA KAMA ULIVYO WEWE,ninachokijua MNA HARIBU MIFUMO YA ELIMU ILI MTENGENEZE WAPIGA KURA WENGI WASIO NA UWEZO WA KUFIKIRIA KAMA ULIVYO WEWE.
 
Inipende mimi vipi wakati haiwapendi Maasai wa Ngorongoro?
Inawapenda iliwauzia bandari na maeneo ya wanyama pori ACHA KUNIPAKA MAFUTA KWA MGONGO WA CHUPA.
Sina ULEMAVU WA KUFIKIRIA KAMA ULIVYO WEWE,ninachokijua MNA HARIBU MIFUMO YA ELIMU ILI MTENGENEZE WAPIGA KURA WENGI WASIO NA UWEZO WA KUFIKIRIA KAMA ULIVYO WEWE.
Akili za kuambiwa changanya na zako
 
Back
Top Bottom