Kama Yanga SC ama itafungwa au hata kutoka Sare na Club Africaine Kesho, tayari Kocha Nabi ameshatoa Utetezi Leo

Kama Yanga SC ama itafungwa au hata kutoka Sare na Club Africaine Kesho, tayari Kocha Nabi ameshatoa Utetezi Leo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Nchi zingine zote Vilabu vyao vikiwa vinashiriki Michuano ya Kimataifa huwa hawachezi Ligi Kuu zao mpaka wazimalize ila kwa hapa Tanzania ni kinyume hivyo sijui Kesho itakuwaje kwani tuna Majeruhi wengi muhimu Kikosini" Nasredinne Nabi Kocha Mkuu wa Yanga SC.

Chanzo: Spoti Leo ya Radio One.

Wana Yanga SC mwambieni Kocha wenu Nabi kuwa Liverpool FC yangu imeshawahi Kucheza Mechi Tatu ndani ya Siku Nane ( 8 ) na bado ikashinda zote na wala Kocha Jurgen Klopp hakuwahi Kulalamika.
 
Nabi tito ni kama ana wenge na hana uhakika wa kupokea mashahara wa mwezi wa 11

Ukisema hiyo ndio hoja, swali litakugeukia kwani Simba wamewezaje?

Afu hayo ni madai ya uongo kwasababu siku tatu kabla ya game ya Yanga na Ali Hilal, Al Hilal walicheza mechi ya ligi kuu wakashinda goli 4. Nabi anathubutuje kupotosha umma kuwa utaratibu huu wakucheza ligi kuu upo Tanzania peke yake?

Kipindi hicho Yanga alikaa zaidi ya siku 5 bila kucheza mechi yeyote ligi kuu wala friend match kwa ajili ya kupata muda wa kutosha kufanya maandalizi ya mechi ya kimataifa

Kikawaida katika kanuni za mpira muda wa timu kucheza ni kila baada ya masaa 72 yani siku 3

Sasa Yanga wamepumzika zaidi ya wiki na bado wakachapika, leo hii wanaona wiki halitoshi wanataka wapewe mwezi?

Na wakati huo huo kumbuka hawa ndio waliokuwa wanalalamika kuwa Simba inaandaliwa ubingwa kwa kupewa viporo

Kuwa mjinga ni kitu kibaya, ila kuwa Yanga ni kitu kibaya maradufu
 
Wewe una kazi kweli!!??
Au ndo wale mnaoishi kwa mashemeji!!??
Maana kutwa kucha habari za mpira huna lingine la maana!!??

Halafu hata hulipwi!!??

Tafuta ajira hata viwandani utanishukuru baadae!!
 
Wewe una kazi kweli!!??
Au ndo wale mnaoishi kwa mashemeji!!??
Maana kutwa kucha habari za mpira huna lingine la maana!!??

Halafu hata hulipwi!!??

Tafuta ajira hata viwandani utanishukuru baadae!!
Mental Case.
 
"Nchi zingine zote Vilabu vyao vikiwa vinashiriki Michuano ya Kimataifa huwa hawachezi Ligi Kuu zao mpaka wazimalize ila kwa hapa Tanzania ni kinyume hivyo sijui Kesho itakuwaje kwani tuna Majeruhi wengi muhimu Kikosini" Nasredinne Nabi Kocha Mkuu wa Yanga SC.

Chanzo: Spoti Leo ya Radio One.

Wana Yanga SC mwambieni Kocha wenu Nabi kuwa Liverpool FC yangu imeshawahi Kucheza Mechi Tatu ndani ya Siku Nane ( 8 ) na bado ikashinda zote na wala Kocha Jurgen Klopp hakuwahi Kulalamika.
Hata wangepewa huo muda wa kupumzika tungesikia wanacheza mechi ya kirafiki na friend rangers au mbuni fc
 
"Nchi zingine zote Vilabu vyao vikiwa vinashiriki Michuano ya Kimataifa huwa hawachezi Ligi Kuu zao mpaka wazimalize ila kwa hapa Tanzania ni kinyume hivyo sijui Kesho itakuwaje kwani tuna Majeruhi wengi muhimu Kikosini" Nasredinne Nabi Kocha Mkuu wa Yanga SC.

Chanzo: Spoti Leo ya Radio One.

Wana Yanga SC mwambieni Kocha wenu Nabi kuwa Liverpool FC yangu imeshawahi Kucheza Mechi Tatu ndani ya Siku Nane ( 8 ) na bado ikashinda zote na wala Kocha Jurgen Klopp hakuwahi Kulalamika.
usilinganishe ulaya na tz
 
Wewe una kazi kweli!!??
Au ndo wale mnaoishi kwa mashemeji!!??
Maana kutwa kucha habari za mpira huna lingine la maana!!??

Halafu hata hulipwi!!??

Tafuta ajira hata viwandani utanishukuru baadae!!
Naona jiwe la gizani limekupata wewe. Pole shemeji.
 
Waliwekeza nguvu nyingi kwenye mechi ya simba maana ndio mafanikio yao wakasahau usiku wa deni haukawii kucha
 
Wewe una kazi kweli!!??
Au ndo wale mnaoishi kwa mashemeji!!??
Maana kutwa kucha habari za mpira huna lingine la maana!!??

Halafu hata hulipwi!!??

Tafuta ajira hata viwandani utanishukuru baadae!!
Duh............................................!
 
Wewe una kazi kweli!!??
Au ndo wale mnaoishi kwa mashemeji!!??
Maana kutwa kucha habari za mpira huna lingine la maana!!??

Halafu hata hulipwi!!??

Tafuta ajira hata viwandani utanishukuru baadae!!
Sasa wewe umejuaje kuwa anashinda humu kama siyo kuwa na wewe umo humu kumshuhudia? Kweli ukiwa Yanga akili zinahama
 
Back
Top Bottom