GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mental Case.Wewe una kazi kweli!!??
Au ndo wale mnaoishi kwa mashemeji!!??
Maana kutwa kucha habari za mpira huna lingine la maana!!??
Halafu hata hulipwi!!??
Tafuta ajira hata viwandani utanishukuru baadae!!
Hata wangepewa huo muda wa kupumzika tungesikia wanacheza mechi ya kirafiki na friend rangers au mbuni fc"Nchi zingine zote Vilabu vyao vikiwa vinashiriki Michuano ya Kimataifa huwa hawachezi Ligi Kuu zao mpaka wazimalize ila kwa hapa Tanzania ni kinyume hivyo sijui Kesho itakuwaje kwani tuna Majeruhi wengi muhimu Kikosini" Nasredinne Nabi Kocha Mkuu wa Yanga SC.
Chanzo: Spoti Leo ya Radio One.
Wana Yanga SC mwambieni Kocha wenu Nabi kuwa Liverpool FC yangu imeshawahi Kucheza Mechi Tatu ndani ya Siku Nane ( 8 ) na bado ikashinda zote na wala Kocha Jurgen Klopp hakuwahi Kulalamika.
usilinganishe ulaya na tz"Nchi zingine zote Vilabu vyao vikiwa vinashiriki Michuano ya Kimataifa huwa hawachezi Ligi Kuu zao mpaka wazimalize ila kwa hapa Tanzania ni kinyume hivyo sijui Kesho itakuwaje kwani tuna Majeruhi wengi muhimu Kikosini" Nasredinne Nabi Kocha Mkuu wa Yanga SC.
Chanzo: Spoti Leo ya Radio One.
Wana Yanga SC mwambieni Kocha wenu Nabi kuwa Liverpool FC yangu imeshawahi Kucheza Mechi Tatu ndani ya Siku Nane ( 8 ) na bado ikashinda zote na wala Kocha Jurgen Klopp hakuwahi Kulalamika.
Kwani ulaya wanacheza mpira kwa mikono shekhe?usilinganishe ulaya na tz
Kwahiyo Ulaya kuna Binadamu na hapa Tanzania kuna Watu TU au?usilinganishe ulaya na tz
Post ya huyo Jamaa imenithibitishia kuwa huenda Tanzania ikawa na Wapumbavu wengi kuliko Takwimu tunazopewa.Kwani ulaya wanacheza mpira kwa mikono shekhe?
Naona jiwe la gizani limekupata wewe. Pole shemeji.Wewe una kazi kweli!!??
Au ndo wale mnaoishi kwa mashemeji!!??
Maana kutwa kucha habari za mpira huna lingine la maana!!??
Halafu hata hulipwi!!??
Tafuta ajira hata viwandani utanishukuru baadae!!
Duh............................................!Wewe una kazi kweli!!??
Au ndo wale mnaoishi kwa mashemeji!!??
Maana kutwa kucha habari za mpira huna lingine la maana!!??
Halafu hata hulipwi!!??
Tafuta ajira hata viwandani utanishukuru baadae!!
Sasa wewe umejuaje kuwa anashinda humu kama siyo kuwa na wewe umo humu kumshuhudia? Kweli ukiwa Yanga akili zinahamaWewe una kazi kweli!!??
Au ndo wale mnaoishi kwa mashemeji!!??
Maana kutwa kucha habari za mpira huna lingine la maana!!??
Halafu hata hulipwi!!??
Tafuta ajira hata viwandani utanishukuru baadae!!
Kwani huko ulaya wanacheza kwa makalio?usilinganishe ulaya na tz
Tafuta kazi kiwandaniNaona jiwe la gizani limekupata wewe. Pole shemeji.
YeahDuh............................................!
Tafuta kazi kiwandaniSasa wewe umejuaje kuwa anashinda humu kama siyo kuwa na wewe umo humu kumshuhudia? Kweli ukiwa Yanga akili zinahama