Ataruhusu watoto waingie nayo mpaka ma shuleniKwani haikuhalalishwa?! Mbona watu wanatumia tu hadharani
Mwanasiasa atasema lolote Ili kuvutia wapiga kura.Wakuu,
Pengine kuna kitu ntakuwa sielewi kuhusu Marekani lakini inaonekana suala la bangi kuwa halali ni suala nyeti sana huko Marekani na hii ni baada ya Harris kusema kuwa atahalalisha matumizi ya bangi nchi nzima pindi akiwa Rais.
Hivi how is this a campaign issue? Na kwanini utake kuhalalisha bangi?
Who is behind Kamala Harris' decisions?
View attachment 3126267
Source: MDN News
Wana hela. Bangi na hela sawa ila bangi na umasikini matokeo yake ni ukichaaWakuu,
Pengine kuna kitu ntakuwa sielewi kuhusu Marekani lakini inaonekana suala la bangi kuwa halali ni suala nyeti sana huko Marekani na hii ni baada ya Harris kusema kuwa atahalalisha matumizi ya bangi nchi nzima pindi akiwa Rais.
Hivi how is this a campaign issue? Na kwanini utake kuhalalisha bangi?
Who is behind Kamala Harris' decisions?
View attachment 3126267
Source: MDN News
Itakuletea athari gani kiuchumi,kijamii, na kifamilia kwa ujumla?Wakuu,
Pengine kuna kitu ntakuwa sielewi kuhusu Marekani lakini inaonekana suala la bangi kuwa halali ni suala nyeti sana huko Marekani na hii ni baada ya Harris kusema kuwa atahalalisha matumizi ya bangi nchi nzima pindi akiwa Rais.
Hivi how is this a campaign issue? Na kwanini utake kuhalalisha bangi?
Who is behind Kamala Harris' decisions?
View attachment 3126267
Source: MDN News
Tatizo gani mmepatwa?Tanzania tumepata hili tatizo. Marekani wasijaribu!
Waondoke na Trump hata kama ni kichaa,ni bora
Makushabu hizo zenuWana hela. Bangi na hela sawa ila bangi na umasikini matokeo yake ni ukichaa
Usiongee vitu ambavyo haujui. Unadhani siasa za Tanzania ni sawa na Marekani.Ni dhahiri sasa Kamara anatapatapa baada ya maji ya shingo kumfika
Serikali za majimbo mengi zimehalalisha. Ni level ya federal au serikali kuu ndo bado.Kwani haikuhalalishwa?! Mbona watu wanatumia tu hadharani
Sawa mkuu....bas watamchagua maana watuaji ni wengiSerikali za majimbo mengi zimehalalisha. Ni level ya federal au serikali kuu ndo bado.
Ndiyo maana amezungumzia hiyo ni level ya Federal.
Kamala akiwa kwenye executive branch of the federal government.
Asilimia kubwa ya madawa yanayotengenezwa ya kutibu magonjwa mbali mbali, yana ingredients za bangi.Wakuu,
Pengine kuna kitu ntakuwa sielewi kuhusu Marekani lakini inaonekana suala la bangi kuwa halali ni suala nyeti sana huko Marekani na hii ni baada ya Harris kusema kuwa atahalalisha matumizi ya bangi nchi nzima pindi akiwa Rais.
Hivi how is this a campaign issue? Na kwanini utake kuhalalisha bangi?
Who is behind Kamala Harris' decisions?
View attachment 3126267
Source: MDN News
Asilimia kubwa ya wananchi hawana shida na hiyo kitu. Tatizo ni kwamba hawataki makampuni makubwa yaingilie hiyo iwe kama bishara yao ambayo italeta uharibifu.Sawa mkuu....bas watamchagua maana watuaji ni wengi