Kamala Harris ana lengo gani? Atangaza kuhalalisha matumizi ya bangi Marekani nzima akichaguliwa kuwa Rais!

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Pengine kuna kitu ntakuwa sielewi kuhusu Marekani lakini inaonekana suala la bangi kuwa halali ni suala nyeti sana huko Marekani na hii ni baada ya Harris kusema kuwa atahalalisha matumizi ya bangi nchi nzima pindi akiwa Rais.

Hivi how is this a campaign issue? Na kwanini utake kuhalalisha bangi?

Who is behind Kamala Harris' decisions?



Source: MDN News
 
Hiyo ni rubber stamp tu kwakuwa tayari hiyo kitu Inatumika daily na kuna sehemu za starehe zinaruhusiwa kuuza
 
Bangi sio illegal Marekani na ishakuwa proved kwamba haina madhara. Kwa sasa kuna dispensaries kila mtaa unanunua na kuvuta unavyotaka sheria ni uwe na 18yrs and over baaasi!. Labda anamalizia vijisehemu vichache vilivyobaki.
 
Mwanasiasa atasema lolote Ili kuvutia wapiga kura.
 
Wana hela. Bangi na hela sawa ila bangi na umasikini matokeo yake ni ukichaa
 
Itakuletea athari gani kiuchumi,kijamii, na kifamilia kwa ujumla?
 
Asilimia kubwa ya madawa yanayotengenezwa ya kutibu magonjwa mbali mbali, yana ingredients za bangi.

Kuna uwezekano vita dhidi ya bangi ilianzishwa na mashirika makubwa yanayopata faida kubwa sana kwenye utengenezaji na uuzaji wa madawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…