Kamala Harris ana lengo gani? Atangaza kuhalalisha matumizi ya bangi Marekani nzima akichaguliwa kuwa Rais!

Kamala Harris ana lengo gani? Atangaza kuhalalisha matumizi ya bangi Marekani nzima akichaguliwa kuwa Rais!

Tanzania tumepata hili tatizo
Vipi hapa Iron Lady?
MV5BMTkzODEwNjk3Nl5BMl5BanBnXkFtZTcwMjIzNzUzOQ@@._V1_.jpg
 
Bangi sio illegal Marekani na ishakuwa proved kwamba haina madhara. Kwa sasa kuna dispensaries kila mtaa unanunua na kuvuta unavyotaka sheria ni uwe na 18yrs and over baaasi!. Labda anamalizia vijisehemu vichache vilivyobaki.
Nadhani kwa baadhi ya majimbo, sio Marekani kote. Hata Mike Tyson I think ndio biashara yake inayo muweka mjini kwasasa; yupo kwenye jimbo linalo ruhusu matumizi ya bangi. Hvi pia mnajua kwamba Urusi kinywaji ili kiitwe Pombe sharti % of alcohol iwe +10? Ikiwa <10 mfano beer hiyo kwao ni juice iliochangamka
 
Kwa hiyo bangi ikiruhusiwa ndio maisha ya wamarekani woe yatakuwa bora😳..Kumbe kikwazo kilikuwa ni kutoruhusiwa kwa bangi tu.Siasa hiziii
 
Kwa hiyo bangi ikiruhusiwa ndio maisha ya wamarekani woe yatakuwa bora😳..Kumbe kikwazo kilikuwa ni kutoruhusiwa kwa bangi tu.Siasa hiziii
acha watu wazima wavute ni starehe, wamarekani hawapendi mambo ya kikuda yasiyo na faida kwa jamii
 
Sio Marekani yote, na sehemu kubwa ni kwa ajiri ya matibabu, watu wanataka wavute kwa starehe zao ( recreational) all over US, mfano kwa sasa you can smoke all you want in Colorado lakini ukivuka border to Nebraska ukishikwa unavuta unaenda jela
Aisee
 
Hahahaha we unagoogle, mi ni fani yangu for over 25yrs kijana! Halafu "recreational" "bangi ya burudani" umeelewa nini maana yake au hadi ras simba akutafsirie? Ficha upumbavu wako kijana wakati mwingine
Eti bangi ya burudani,sasa kwa nini ukikutwa na bangi marekani unafungwa!?
 
Eti bangi ya burudani,sasa kwa nini ukikutwa na bangi marekani unafungwa!?
1
Hahaha unaokana hujui unachokiongea anyway I rest my case! Kwamba Marekani ni kama hapo manzese mnapochomekeana vipisi na kushtakiana? Nasikitikia nchi yangu sana kutotoa exposure kwa vijana wasafiri na kujionea dunia sikulaumu kwa kutokujua mambo sio kosa lako kijana
 
Sio Marekani yote, na sehemu kubwa ni kwa ajiri ya matibabu, watu wanataka wavute kwa starehe zao ( recreational) all over US, mfano kwa sasa you can smoke all you want in Colorado lakini ukivuka border to Nebraska ukishikwa unavuta unaenda jela

Sahihi kabisa Colorado bangi unanunua gas station na unavuta tu kasoro kwnye public places pekee!
 
1
Hahaha unaokana hujui unachokiongea anyway I rest my case! Kwamba Marekani ni kama hapo manzese mnapochomekeana vipisi na kushtakiana? Nasikitikia nchi yangu sana kutotoa exposure kwa vijana wasafiri na kujionea dunia sikulaumu kwa kutikijua mambo sio kosa lako kijana
of 2023, twenty-four states, three U.S. territories, and the District of Columbia have legalized recreational use of cannabis. Thirty-eight states, four U.S. territories, and D.C. have legalized medical use of the drug.
1729108438715.png

Wikipedia, the free encyclopedia › wiki › C...

Cannabis

 
Wakuu,

Pengine kuna kitu ntakuwa sielewi kuhusu Marekani lakini inaonekana suala la bangi kuwa halali ni suala nyeti sana huko Marekani na hii ni baada ya Harris kusema kuwa atahalalisha matumizi ya bangi nchi nzima pindi akiwa Rais.

Hivi how is this a campaign issue? Na kwanini utake kuhalalisha bangi?

Who is behind Kamala Harris' decisions?

View attachment 3126267

Source: MDN News
Achunguzwe kama ana undugu na kishimba
 
Inawezekana bangi ikawa hakunashida labda huku kwetu wanavuta bila kula 😃😃
 
Back
Top Bottom