Kamala Harris ana lengo gani? Atangaza kuhalalisha matumizi ya bangi Marekani nzima akichaguliwa kuwa Rais!

Kamala Harris ana lengo gani? Atangaza kuhalalisha matumizi ya bangi Marekani nzima akichaguliwa kuwa Rais!

Asilimia kubwa ya madawa yanayotengenezwa ya kutibu magonjwa mbali mbali, yana ingredients za bangi.

Kuna uwezekano vita dhidi ya bangi ilianzishwa na mashirika makubwa yanayopata faida kubwa sana kwenye utengenezaji na uuzaji wa madawa.
Hapa Tanzania mna sababu zipi za msingi za kuzuia bangi ?
 
Bangi sio illegal Marekani na ishakuwa proved kwamba haina madhara. Kwa sasa kuna dispensaries kila mtaa unanunua na kuvuta unavyotaka sheria ni uwe na 18yrs and over baaasi!. Labda anamalizia vijisehemu vichache vilivyobaki.
Sio marekani yote ni majimbo machache tu lakini majimbo mengi hayaruhusu bangi

Na bangi inayoruhusiwa ni ile iliyochakatuliwa kitaalam sio kama unavyiwaza wewe
Yaan bangi inayoruhusiwa ina kiasi fulani cha kilevi au ile stimu na inauzwa maduka maalum na sio kiholela hvyo bado sheria itachukuamkondo wake ikiwa utaenda kinyume na muongozo wa sheria ya bangi

Sasa alichosema kuwa yeye ataruhusu nchi nzima ikiwa utakuwa muswada sheria kwa maana hata majimbo yaliyokuwa hayataki kuruhusu matumizi ya bangi kama seneti waKipitisha na aKatia saini basi majimbo yote bangi ruhusa
Ila ukumbuke mpk seneti wapige kula waridhir
Sio kwamba akiingia tu madarakani akisema bangi ruhusa basi na iwe hapana
 
Sio marekani yote ni majimbo machache tu lakini majimbo mengi hayaruhusu bangi

Na bangi inayoruhusiwa ni ile iliyochakatuliwa kitaalam sio kama unavyiwaza wewe
Yaan bangi inayoruhusiwa ina kiasi fulani cha kilevi au ile stimu na inauzwa maduka maalum na sio kiholela hvyo bado sheria itachukuamkondo wake ikiwa utaenda kinyume na muongozo wa sheria ya bangi

Sasa alichosema kuwa yeye ataruhusu nchi nzima ikiwa utakuwa muswada sheria kwa maana hata majimbo yaliyokuwa hayataki kuruhusu matumizi ya bangi kama seneti waKipitisha na aKatia saini basi majimbo yote bangi ruhusa
Ila ukumbuke mpk seneti wapige kula waridhir
Sio kwamba akiingia tu madarakani akisema bangi ruhusa basi na iwe hapana
Hakuna cha utalaam bangi ni bangi mzee. Wasifiche madhara ya sigara ni makubwa zaidi ya bangi bora iruhusiwe hata bongo watu walime ikuze uchumi, mtu akichomewa heka moja tu ni mamilioni wao wanaharibu kwakweli tuna safari ndefu
 
Wakuu,

Pengine kuna kitu ntakuwa sielewi kuhusu Marekani lakini inaonekana suala la bangi kuwa halali ni suala nyeti sana huko Marekani na hii ni baada ya Harris kusema kuwa atahalalisha matumizi ya bangi nchi nzima pindi akiwa Rais.

Hivi how is this a campaign issue? Na kwanini utake kuhalalisha bangi?

Who is behind Kamala Harris' decisions?

View attachment 3126267

Source: MDN News
Chama Cha watoa mimba, ushoga na sasa bangi
 
Bangi sio illegal Marekani na ishakuwa proved kwamba haina madhara. Kwa sasa kuna dispensaries kila mtaa unanunua na kuvuta unavyotaka sheria ni uwe na 18yrs and over baaasi!. Labda anamalizia vijisehemu vichache vilivyobaki.
Kwa hiyo makamu wa rais na mgombea urais hajui kuwa bangi ni halali marekani mpaka aahidi kwenye kampeni!!...acheni ujuaji wa kijinga
 
Kwa hiyo makamu wa rais na mgombea urais hajui kuwa bangi ni halali marekani mpaka aahidi kwenye kampeni!!...acheni ujuaji wa kijinga

Kwa kuwa hujaelewa maelezo nakuacha ubaki ulivyo, ila siku ingine usome na kuelewa kabla hujajibu ndio maana mnafeli sana vijana.
 

Attachments

  • mj-map-november-8-2023.jpg
    mj-map-november-8-2023.jpg
    126.8 KB · Views: 1
Wakuu,

Pengine kuna kitu ntakuwa sielewi kuhusu Marekani lakini inaonekana suala la bangi kuwa halali ni suala nyeti sana huko Marekani na hii ni baada ya Harris kusema kuwa atahalalisha matumizi ya bangi nchi nzima pindi akiwa Rais.

Hivi how is this a campaign issue? Na kwanini utake kuhalalisha bangi?

Who is behind Kamala Harris' decisions?

View attachment 3126267

Source: MDN News
Hapo anawalenga watu weusi......shida bangi zao zenyewe wanazohalalisha kwa sasa ni za gmo ,,,tayari zina upuuzi mwingi hadi mapepo ya lgbt
 
Sio marekani yote ni majimbo machache tu lakini majimbo mengi hayaruhusu bangi

Na bangi inayoruhusiwa ni ile iliyochakatuliwa kitaalam sio kama unavyiwaza wewe
Yaan bangi inayoruhusiwa ina kiasi fulani cha kilevi au ile stimu na inauzwa maduka maalum na sio kiholela hvyo bado sheria itachukuamkondo wake ikiwa utaenda kinyume na muongozo wa sheria ya bangi

Sasa alichosema kuwa yeye ataruhusu nchi nzima ikiwa utakuwa muswada sheria kwa maana hata majimbo yaliyokuwa hayataki kuruhusu matumizi ya bangi kama seneti waKipitisha na aKatia saini basi majimbo yote bangi ruhusa
Ila ukumbuke mpk seneti wapige kula waridhir
Sio kwamba akiingia tu madarakani akisema bangi ruhusa basi na iwe hapana

Majimbo yapi mengi? Yanayoruhusu au yanayozuia?? It's common sense, recreational marijuana ni nini? Unaweza kudefine? Mitaa nayoishi ina dispensary zaidi ya 10 na nikitaka kununua natoa ID na kulipa, hayo ya sio kiholela sijajua unamaanisha nini! Ofcouse Marekani hamna kitu kinauzwa kiholela hata nyanya!
 

Attachments

  • mj-map-november-8-2023.jpg
    mj-map-november-8-2023.jpg
    126.8 KB · Views: 1
Unajua maana ya 'medical and recreational'?..mpuuzi

Hahahaha we unagoogle, mi ni fani yangu for over 25yrs kijana! Halafu "recreational" "bangi ya burudani" umeelewa nini maana yake au hadi ras simba akutafsirie? Ficha upumbavu wako kijana wakati mwingine
 
Back
Top Bottom