Kamanda Gilles Muroto Astaafu, karibu uraiani upambane

Kamanda Gilles Muroto Astaafu, karibu uraiani upambane

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Mzee Muroto nakukumbusha muda wa kutoa amri umekwisha rasmi umeingia kupokea amri. Umestaafu ukiwa umejikita zaidi kutetea chama kuliko Jeshi, nikuombe uwasiliane na chama kione wataweka utaratibu gani wakukuwezesha kuwahi kuamka kwenda sehemu kujikeep busy.

Nakukumbusha pia kwamba maisha mapya unayoanza yana kadhia kwa watu Kama wewe, wengi watatamani kujua unafanya nini mtaani au unasimamia bishara gani, please usifungue kampuni ya ulinzi utamaliza pensheni bure.

Nikutakie maisha marefu uendako

Muroto.jpg
 
Kwahiyo ulidhani vibaka kama wewe akuache tu uendelee kupora sababu tu Muroto aogope maisha ya kustaafu na kuishi uraiani?

Hata ungelikuwa ni wewe, halafu Muroto awe kibaka, sidhani kama ungemuacha kisa kuhofia maisha ya uraiani na wakati wewe jukumu lako ni kulinda raia na Mali zao
 
Muda si mrefu utasikia amekuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa!
 
Atapata kipigo cha mbwa mwizi huku mtaani sasa ndio muda akamuulize Kova mtaa upo vipi?

Atakufa mapema maana ashazoea kutoa orders sasa hivi watu watakuwa wanamuangalia tu he is just a jobless and another nothing but a junkie kwa sasa. Atafurahi.
 
Mzee Mroto nakukumbusha muda wa kutoa amri umekwisha rasmi umeingia kupokea amri. Umestaafu ukiwa umejikita zaidi kutetea chama kuliko Jeshi, nikuombe uwasiliane na chama kione wataweka utaratibu gani wakukuwezesha kuwahi kuamka kwenda sehemu kujikeep busy...
Akumbuke kutii sheria bila shuruti.

Ahakikishe miradi yake analipa kodi kwa wakati
 
Mzee Muroto nakukumbusha muda wa kutoa amri umekwisha rasmi umeingia kupokea amri. Umestaafu ukiwa umejikita zaidi kutetea chama kuliko Jeshi, nikuombe uwasiliane na chama kione wataweka utaratibu gani wakukuwezesha kuwahi kuamka kwenda sehemu kujikeep busy...
Anakuwa Mkuu wa Wilaya au DED hawezi kumuacha barabarani anyway all is possible!
 
Watu wakati mwingine binadamu tuwe tunajaribu kukumbuka kwamba vyeo ni dhamana tu.... mambo ya matamko ya kutaka watu wapigwe 'kipigo cha mbwa koko' bila sababu ya msingi si vyema hata kidogo. Kazi iendelee.
Sijui itakuwaje huko mtaani atakapokutana na wale aliokuwa akiwapiga "Kipigo cha mbwa koko🙂".....mpaka "Wakapata taabu sana"🙂
 
We kijana acha kunitishia nyau mimi. Mimi ni askari nimefunzwa ukakamavu kwa hiyo siogopi mtu: ukinizingua tunazinguana 😂
Usifikiri kwa kuwa nimesitaafu basi ndiyo unaweza kunichezeya mura. Hata huko uraiani ukiniletea mchezo uje umevaa bukta kabisa, vinginevyo utaambulia kipigo cha mbwa koko 😂😃
 
Back
Top Bottom