Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ajipange saa ngapi huyu boyaKaribukula kwa jasho....vya bute vimeisha....misifa ya media hakuna tena...kama hakujipanga ataadhirika kitaa ....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajipange saa ngapi huyu boyaKaribukula kwa jasho....vya bute vimeisha....misifa ya media hakuna tena...kama hakujipanga ataadhirika kitaa ....
Ni Yule wa herufi ndogo tupu aka miungu.... Achane nae MUNGU WA KWELI ANAPENDA HAKI..MUNGU yupi sasa [emoji1787][emoji1787] maan kuna miungu mingi tu. MUNGU alie hai hupenda haki
Sasa ni muda sahihi atuambie ni nani alimpiga Lissu risasi. Pia atuambie kwanini alizuia gari ya Lissu isitoke pale polisi.Mzee Muroto nakukumbusha muda wa kutoa amri umekwisha rasmi umeingia kupokea amri. Umestaafu ukiwa umejikita zaidi kutetea chama kuliko Jeshi, nikuombe uwasiliane na chama kione wataweka utaratibu gani wakukuwezesha kuwahi kuamka kwenda sehemu kujikeep busy.
Nakukumbusha pia kwamba maisha mapya unayoanza yana kadhia kwa watu Kama wewe, wengi watatamani kujua unafanya nini mtaani au unasimamia bishara gani, please usifungue kampuni ya ulinzi utamaliza pensheni bure.
Nikutakie maisha marefu uendako
Hawa makamanda wakirudi uraiaji baada ya kustaafu, mpaka unawaonea huruma.Dua la kuku hilo.
Mtateseka lakini mungu hajawa upande wenu
Unafikili = unafikiri. Hata Kiswahili tu shida!! Lugha nyingine na hesabu, bila shaka ni zero.Kwani unafikili nini kitatokea?
Kama hakujipanga vizuri kimaisha atapata kipigo cha mbwa koko cha maisha.Mzee Muroto nakukumbusha muda wa kutoa amri umekwisha rasmi umeingia kupokea amri. Umestaafu ukiwa umejikita zaidi kutetea chama kuliko Jeshi, nikuombe uwasiliane na chama kione wataweka utaratibu gani wakukuwezesha kuwahi kuamka kwenda sehemu kujikeep busy.
Nakukumbusha pia kwamba maisha mapya unayoanza yana kadhia kwa watu Kama wewe, wengi watatamani kujua unafanya nini mtaani au unasimamia bishara gani, please usifungue kampuni ya ulinzi utamaliza pensheni bure.
Nikutakie maisha marefu uendako
PSSF ila hata nao Hawana unafuu.PSSSF watamsumbua pensheni huyu mzee hadi aombe poo. Atamaliza soli za viatu kufatilia pensheni zake. Hii ndio bongoland!
Nikutakie maisha marefu uendako
Ila yawezekana zilikuwa ni biti tu, maana ukiacha tukio la Lissu sijawahi kusikia kaua mtu, kurundika innocents mahabusu au kupiga watu.Jamani mbwa koko aliwakosea mini?
Kama ni wasomali ilikuwa sehemu kazini.
Kama ni Bawacha aliwambia wavae bukuta.
TATIZO NI NINI?
Wale wahuni hawaangaliagi manyota ya mabegani unawekwa benchi na vijamaa vidogooo mpaka unachanganyikiwa labda kama alikua anapiga dili za rushwa underground vinginevyo miaka hii ukistaafu nikama death sentencePSSSF watamsumbua pensheni huyu mzee hadi aombe poo. Atamaliza soli za viatu kufatilia pensheni zake. Hii ndio bongoland!
li mbowe au?Si Sabaya tu , muulize liliko kubwa la maadui
Ukienda wanakwambia meneja kasafiri njoo wiki ijayo.Wale wahuni hawaangaliagi manyota ya mabegani unawekwa benchi na vijamaa vidogooo mpaka unachanganyikiwa labda kama alikua anapiga dili za rushwa underground vinginevyo miaka hii ukistaafu nikama death sentence
Ah!!wapiDua la kuku hilo.
Mtateseka lakini mungu hajawa upande wenu