Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Hapana... wengi wa wastaafu tunaona kama hawajafungua kampuni za ukorokoroni basi wenyewe wanakuwa makorokoroni la si hivyo huwa tunapishana nao wakijisemesha wenyewe njiani "sijamaanisha wote..."Dua la kuku hilo
Mtateseka lakini mungu hajawa upande wenu