Kamanda Gilles Muroto Astaafu, karibu uraiani upambane

Kamanda Gilles Muroto Astaafu, karibu uraiani upambane

Dua la kuku hilo
Mtateseka lakini mungu hajawa upande wenu
Hapana... wengi wa wastaafu tunaona kama hawajafungua kampuni za ukorokoroni basi wenyewe wanakuwa makorokoroni la si hivyo huwa tunapishana nao wakijisemesha wenyewe njiani "sijamaanisha wote..."
 
Chadema kundi la kushindwa
Mzee Muroto nakukumbusha muda wa kutoa amri umekwisha rasmi umeingia kupokea amri. Umestaafu ukiwa umejikita zaidi kutetea chama kuliko Jeshi, nikuombe uwasiliane na chama kione wataweka utaratibu gani wakukuwezesha kuwahi kuamka kwenda sehemu kujikeep busy...
 
Mzee Muroto nakukumbusha muda wa kutoa amri umekwisha rasmi umeingia kupokea amri. Umestaafu ukiwa umejikita zaidi kutetea chama kuliko Jeshi, nikuombe uwasiliane na chama kione wataweka utaratibu gani wakukuwezesha kuwahi kuamka kwenda sehemu kujikeep busy...
Huyo hawezi kuchukua muda mrefu atakufa maana ni mpuzi sn
 
Yule kamanda maarufu wa kipigo cha mbwa koko na kipigo cha kuchakaa kastaafu jana , maisha haya alivyokuwa akitamba kama kada sasa utumishi umefikia mwisho .
Screenshot_20210531-213947.png
 
Kumbe kakua kuamo,hivi pension yake inaweza kuwa kama sh ngapi za madafu asije akaanza kutuomba omba bia & kujichekelesha
 
Nasikia mzee mrogo wanamsubiri kwa hamu huko mtaani. nasikia sio kwamba najua hapana.
 
Kila ka heri mzee.
Hongera kwa kustaafu utumishi kwa heshima
 
Karibukula kwa jasho....vya bute vimeisha....misifa ya media hakuna tena...kama hakujipanga ataadhirika kitaa ....
 
Atapata kipigo cha mbwa mwizi huku mtaani sasa ndio muda akamuulize kova mtaa upo vipi?

Atakufa mapema maana ashazoea kutoa orders sasa hivi watu watakuwa wanamuangalia tu he is just a jobless and another nothing but a junkie kwa sasa. Atafurahi.

Atakufa mapema wewe ninani ?? Unaweza ukatangulia wewe ukamuacha au yeye akakuacha au hata mimi... HUJUI KESHO YAKO
 
Watu wakati mwingine binadamu tuwe tunajaribu kukumbuka kwamba vyeo ni dhamana tu.... mambo ya matamko ya kutaka watu wapigwe 'kipigo cha mbwa koko' bila sababu ya msingi si vyema hata kidogo. Kazi iendelee.
Bila sababu za msingi????
 
Sijui itakuwaje huko mtaani atakapokutana na wale aliokuwa akiwapiga "Kipigo cha mbwa koko🙂".....mpaka "Wakapata taabu sana"🙂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom