Full Blood Picture
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 2,223
- 3,961
Wastaafu wa majeshi yetu huchoka sana ....mara tu vitu bure vikikomaAjipange saa ngapi huyu boya
Wengi ni wajinga snWastaafu wa majeshi yetu huchoka sana ....mara tu vitu bure vikikoma
Unataka niisome Khanga ya mama yako?Kwahiyo ukisoma vipeperushi kwa kubenea unaamini?
Unamkumbuka Shana (Mshana) huyu mara ya mwisho alikuwa nadhani RPC Arusha nitasahihishwa kama nimekosea hilo jina alivyojifia mkiwa pale Mwaisela wards MNH?Dua la kuku hilo.
Mtateseka lakini mungu hajawa upande wenu
Kausha bwana muroto utafurahi.Atakufa mapema wewe ninani ?? Unaweza ukatangulia wewe ukamuacha au yeye akakuacha au hata mimi... HUJUI KESHO YAKO
Kama alikua anawasikia PSSSF ndio atawajua vyema.PSSSF watamsumbua pensheni huyu mzee hadi aombe poo. Atamaliza soli za viatu kufatilia pensheni zake. Hii ndio bongoland!