Kamanda Mambosasa: Polisi hawakugawana nyama za wafanyabiashara bali ziliteketezwa na nyingine ilifukiwa ardhini, zilikuwa kilo 130 siyo 800!

Wake za maafande watakua walikula na kusaza siku hiyo, mambo yalikua "harooo waifu bandika ugari mboga nareta"
Kwasababu ilikuwa ghafla, Walianza na supu + mikate. Mchana pilau nyama, usiku ndizi za kukaanga na nyama. Mida ya jioni wakati wakipitia Bar kuyeyusha mafuta ya nyama tumboni kwa K Vant, wakwe walio Dar nao walipelekewa nyama.
 
Pathetic report. Unaweza kujichunguza mwenyewe na kutoa taarifa mwenyewe. Unajua Watz tumefikishwa mahali pa dharau kubwa, simple after all watafanya nini! Nawasihi viongozi wasichukulie poa ukondoo wa wananchi. Kwann mambosasa asingenyamaza tu yaishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…